Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Karma ilimlipaKwahiyo asingetengeneza kesi ya kubambika mtoto wake asingekufa?
Ndicho kinachofanyika vi milioni kumi kumi vya kuvulia vyupi za baamediWalio fanya tukio Hilo baada ya tukio wanapewa mgao wa kugawana ten ten Kisha wanaenda kulala kwa amani
Ukitaka kumtumia mtu mpe njaa Kisha uwe msaada wake na usimpe kingi akaweka akiba
Mpe kidogo kidogo ili akutegemeeaisha yake yote
Ndicho wanacho kifanya ccm.kwa watanzania
Chadema wajihami sasa, wawe armed kabisa. Clearly wako hunted na giv haiko upande wao.Zoezi La Utekaji Linazidi Kushika Kasi
Nchi hii, nchi hii ,ipo na laana sanaKatibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.
Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.
Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.
Pia soma:
Wewe unafikiri uko salama sana, tunasisitiza uongozi wa kisheria sio uhuni.Zaidi nanyinyi mtakufa pia, hata kama mtaumiza watu - hata wewe usikute kuna jamaa zako wa karibu kifo kimeishatembea nao au sio kweli ndugu?? Tusiumize watu, wala kushabikia watu wanaoumiza wengine - malipo ni hapahapa dunianiKumbe ni kati ya wale wahuni waliochoma vitenge ,wananchi wenye hasira wamtammaliza (kibaka) lazima ashambuliwe
Kila Ubaya UtalipwaKumbe ni kati ya wale wahuni waliochoma vitenge ,wananchi wenye hasira wamtammaliza (kibaka) lazima ashambuliwe
Huko si kwa mkwe tenaKila Ubaya Utalipwa
Maccm ni terrorists!Inasikitisha, pole na Mungu atakuponya dada yetu.
Kifo siyo karmaKarma ilimlipa
Mungu amfanyie wepesi ndugu yetuKatibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.
Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.
Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.
Pia soma:
anatajwa kuwa ndiye mchora ramaniHuko si kwa mkwe tena
Hao wana baraka zote
Ova
Katibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.
Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.
Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.
Pia soma:
Inasikitisha, pole na Mungu atakuponya dada yetu.
Kumbe ni kati ya wale wahuni waliochoma vitenge ,wananchi wenye hasira wamtammaliza (kibaka) lazima ashambuliwe
Inasikitisha sana,hapo ndipo ujue kuwa CCM haina maliziano ya kweli na amani inayosemwa na watawala ni amani ya maigizo.
Kwa mambo yanayotokea sasa inadhihirisha kabisa Uongozi wa Chadema ni dhaifu. Don’t moan, take actions
"We were forced to form a Paramilitary wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."Kuna siku madhalimu wote watalipia hizi damu wanazomwaga