Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Walio fanya tukio Hilo baada ya tukio wanapewa mgao wa kugawana ten ten Kisha wanaenda kulala kwa amani
Ukitaka kumtumia mtu mpe njaa Kisha uwe msaada wake na usimpe kingi akaweka akiba
Mpe kidogo kidogo ili akutegemeeaisha yake yote
Ndicho wanacho kifanya ccm.kwa watanzania
Ukitaka kumtumia mtu mpe njaa Kisha uwe msaada wake na usimpe kingi akaweka akiba
Mpe kidogo kidogo ili akutegemeeaisha yake yote
Ndicho wanacho kifanya ccm.kwa watanzania