Pre GE2025 Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya

Pre GE2025 Aisha Machano, Katibu mwenezi BAWACHA Taifa, alitekwa na kupigwa sana, ameokotwa porini akiwa na hali mbaya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Walio fanya tukio Hilo baada ya tukio wanapewa mgao wa kugawana ten ten Kisha wanaenda kulala kwa amani

Ukitaka kumtumia mtu mpe njaa Kisha uwe msaada wake na usimpe kingi akaweka akiba

Mpe kidogo kidogo ili akutegemeeaisha yake yote

Ndicho wanacho kifanya ccm.kwa watanzania
Ndicho kinachofanyika vi milioni kumi kumi vya kuvulia vyupi za baamedi
 
Yanayo fanyika ni kwa faida ya Nani au kutisha,
Wanaharakati na wapinzani....ni SHAMELESS kabisa 😔😔
 
Katibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.

Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.

Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.


Pia soma:
Nchi hii, nchi hii ,ipo na laana sana
 
Kumbe ni kati ya wale wahuni waliochoma vitenge ,wananchi wenye hasira wamtammaliza (kibaka) lazima ashambuliwe
Wewe unafikiri uko salama sana, tunasisitiza uongozi wa kisheria sio uhuni.Zaidi nanyinyi mtakufa pia, hata kama mtaumiza watu - hata wewe usikute kuna jamaa zako wa karibu kifo kimeishatembea nao au sio kweli ndugu?? Tusiumize watu, wala kushabikia watu wanaoumiza wengine - malipo ni hapahapa duniani
 
Katibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.

Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.

Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.


Pia soma:
Mungu amfanyie wepesi ndugu yetu
 
Katibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.

Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.

Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.


Pia soma:
Inasikitisha, pole na Mungu atakuponya dada yetu.
Kumbe ni kati ya wale wahuni waliochoma vitenge ,wananchi wenye hasira wamtammaliza (kibaka) lazima ashambuliwe
Inasikitisha sana,hapo ndipo ujue kuwa CCM haina maliziano ya kweli na amani inayosemwa na watawala ni amani ya maigizo.
Kwa mambo yanayotokea sasa inadhihirisha kabisa Uongozi wa Chadema ni dhaifu. Don’t moan, take actions
Kuna siku madhalimu wote watalipia hizi damu wanazomwaga
"We were forced to form a Paramilitary wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Back
Top Bottom