MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Huu uhuni umeratibiwa ndani ya CHADEMA kwenyewe. Haihitaji kuwa profesa kutambua hilo.huenda wenye kuhitaji vile vitenge vilivyochomwa walipata hasira sana kwamba why this,
ingawa kuchoma vitenge sio jambo la kiungwana lakini pia kumpiga mtu kwa hasira sio jambo zuri pia 🐒
CHADEMA endeleeni kulialia kama nyie hamna mikono! Hivi mnashindwa nini kuwaelekeza red brigade nao wakaanza kuwateka UVCCM na UWT?Katibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.
Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.
Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.
Pia soma:
Hasa huyu dhalim wa kikeKuna siku madhalimu wote watalipia hizi damu wanazomwaga
Wanajiteka wenyewe hawaCHADEMA endeleeni kulialia kama nyie hamna mikono! Hivi mnashindwa nini kuwaelekeza red brigade nao wakaanza kuwateka UVCCM na UWT?
Na wengine wanayachambia kabisa dadeqUnachoma kitenge chako wanawashwa watu wengine.
Sasa haya magazeti ya Mama vitumbua hapa tunayachoma baada ya kufungia vitumbua itakuwaje.
Huyu Mzanzibar tumemchoka eti Mama!Katibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.
Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.
Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.
Pia soma:
Wee mkuu wa nchi anakupa zawadi alafu unaichoma? Hiyo si ni dharau? Kwanini wasingevirudisha kwa heshima hile hile wakati wanavipokea na kuvikubali?Katibu Mwenezi Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano akiwa Kibiti kuendelea na majumu ya Chama ametekwa na kupigwa sana kisha kutupwa porini.
Vijana wa bodaboda wamemuokota akiwa katika Hali mbaya na maumivu makali. Waliomteka walitaka maelezo ni nani aliwaelekeza kuchoma vitenge vilivyogawiwa na Rais
SuluhuSamia katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023 mkoani Kilimanjaro.
Kwa sasa amefikishwa hospitali kwa ajili ya matibabu na ameingizwa chumba maalum cha upasuaji (Theatre) kwa huduma zaidi.Taarifa za kina zitakuja hapo baadaye kadiri ya tutakavyozipokea.
Pia soma:
Ni yeye anawatuma na kuwalipa.Wanamchafulia Mama ili asigombee 2025 !!
Hii sio habari ya kuchoma vitenge wala nini !
Kazi kweli kweli. 😳🙄
Natamani Angekuwa Mama yako...siku hazingandiKumbe ni kati ya wale wahuni waliochoma vitenge ,wananchi wenye hasira wamtammaliza (kibaka) lazima ashambuliwe
.Kuna siku madhalimu wote watalipia hizi damu wanazomwaga
Naunga mkono hoja hii.CHADEMA endeleeni kulialia kama nyie hamna mikono! Hivi mnashindwa nini kuwaelekeza red brigade nao wakaanza kuwateka UVCCM na UWT?
Huoni haya,Chadema wanajiteka wenyewe kuipakazia serikali.
Hawana sera hao.