MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Haihitaji PhD kujua huu uhuni umefanywa na CHADEMA wenyewe. Baada ya kiki yao ya kuchoma vitenge kubuma wameona wamtoe huyu mwanamama kafara ili kupata political mileage. Ninalaani huu uhuni wa Mbowe na genge lake katili.