Wewe huna faida Kwa maendeleo ya nchiHivi hawa vyama vya upinzani kwanini wasitafute kazi nyingine ya kufanya?
Kwani ni lazima kufanya siasa?
Kama wanaipenda Sana siasa basi waende huko huko ccm ama sivyo watakuja kufa.
Waende wakapambanie mabadiliko huko huko ndani ya ccm hii nchi haiko tayari kuona ccm inaondolewa madarakani waiache ccm itawale nchi itakavyo. Watakuja kufa bure
Wacha hizo mwamba!Wanajiteka wenyewe hawa
Na wewe umechoma kitenge kumbeHuyo ni katibu mwenezi, je Mimi na wewe?
Huyo Makupa atakuwa ni miongoni mwa baadhi ya mashetani tuliyo nayo hapa JF.Huna akili wewe
Sidhani !Ni yeye anawatuma na kuwalipa.
Hilo anaweza kufanya yeyote,si lazima CCMCCM wana mambo ya kitoto sana. Kwa nini sasa wanajikuta wamevurugwa wakisikia tu picha au vitenge vya mwenyekiti wao vimechomwa moto!!
Nchi hii ina mambo mabaya kuliko hata ya shetaniBaadhi ya majeraha ya kupigwa kwa Katibu Mwenezi wa Bawacha Taifa Mhe. Aisha Machano baada ya kutekwa na kuteswa na watu waliojitambulisha kuwa ni Jeshi la Polisi.
Lini?Kila Ubaya Utalipwa
huenda wenye kuhitaji vile vitenge vilivyochomwa walipata hasira sana kwamba why this,
ingawa kuchoma vitenge sio jambo la kiungwana lakini pia kumpiga mtu kwa hasira sio jambo zuri pia π
huenda wenye kuhitaji vile vitenge vilivyochomwa walipata hasira sana kwamba why this,
ingawa kuchoma vitenge sio jambo la kiungwana lakini pia kumpiga mtu kwa hasira sio jambo zuri pia π
huenda wenye kuhitaji vile vitenge vilivyochomwa walipata hasira sana kwamba why this,
ingawa kuchoma vitenge sio jambo la kiungwana lakini pia kumpiga mtu kwa hasira sio jambo zuri pia π
gentleman,Kwendeni zenu, ingekuwa hasira si wangempiga hadharani? Kwanini atekwe kwa kuviziwa, apigwe na kuteswa bila kionekana then atupwe porini?! Haya mambo hayakubaliki kwa lugha yoyote ile
huenda ni kweli wamekataa tamaa kabisa na viongoz wao, kwamba badala waje na mawazo na mipango yakuleta mageuzi, ati woa wanachoma vitenge kana kwamba hilo ndiyo jambo la maanaa zaidi wanachama wao wanataka πHuenda tunajiuliza kwanini wananchi wameonesha kukata tamaa, kumbe mambo kama haya wametulia wanayafiatilia kimya kimya, hakuna ulazima wowote wa kuyafanya haya ,
HΓ wa sijui wamemwachaje?CCM wana mambo ya kitoto sana. Kwa nini sasa wanajikuta wamevurugwa wakisikia tu picha au vitenge vya mwenyekiti wao vimechomwa moto!!