MImi ni mjenzi profesheno, ni taaluma yangu, ujenzi aina zote unazozijua wewe.Bro nyumba ya kawaida sana dar 250,000 ya vyumba viwili..umeme, maji, taka na utilities tuseme 300,000 kwa mwezi kwahiyo 3.6M annually, hapo bado bajeti ya msosi, unafkiri vijana wadogo tunaota upara bahati mbaya? Kama ipo ya 1M najitosaaa
Dah umemaliza, hatari fire. basi itakua ujenzi wa kijijini, estimate ya vyumba viwili na sebule kwa kujibana vilivo ngapi mkuu roughly? Yani kila kitu apo kuhamia tu, sitaki nakshi yani hapo muundo ata L tuMImi ni mjenzi ptofesheno, ni taaluma yangu, ujenzi aina zote unazozijua wewe.
HAta ukiniamsha ndotoni na kunipa ramani ninakupa BOQ yake.
Hivyo mtu anapobwabwaja mimi ninamwangalia tu.
Hakuna hata room ya 2m ambayo inayokidhi kuitwa nyumba zaidi ya kuitwa banda la kuku, ambalo ukicheza 2m hazitoshi
Mkuu huwa siongei hewani, weka ka ramani kako nikukadirie kishkajiDah umemaliza, hatari fire. basi itakua ujenzi wa kijijini, estimate ya vyumba viwili na sebule kwa kujibana vilivo ngapi mkuu roughly? Yani kila kitu apo kuhamia tu, sitaki nakshi yani hapo muundo ata L tu
au idea kama hii unatengeneza hall kubwa kama msikiti hivi alafu unatengeneza partition humo ndani kutumia singboard, hii inaonekana simple mkuu?MImi ni mjenzi profesheno, ni taaluma yangu, ujenzi aina zote unazozijua wewe.
HAta ukiniamsha ndotoni na kunipa ramani ninakupa BOQ yake.
Hivyo mtu anapobwabwaja mimi ninamwangalia tu.
Hakuna hata room ya 2m ambayo inayokidhi kuitwa nyumba zaidi ya kuitwa banda la kuku, ambalo ukicheza 2m hazitoshi
Sawa ntakuchek mkuuMkuu huwa siongei hewani, weka ka ramani kako nikukadirie kishkaji
Any time bablaiSawa ntakuchek mkuu
Una ramani yake?au idea kama hii unatengeneza hall kubwa kama msikiti hivi alafu unatengeneza partition humo ndani kutumia singboard, hii inaonekana simple mkuu?
View attachment 2937548View attachment 2937549
nilijenga kijumba mwanza nlimpa mtu anisimamie kosa nililofanya kutonakiri matumizi hela ilikua inatoka kwa mafungu, lakn najua ni zaidi ya 10M kidogo kdogo kwa miaka miwili.. this time ata msumari mmoja ntaandika.nikukadirie kishkaji
Hapana picha ya ku download tu, lakn unaweza fanya makisio mtaalam 💪Una ramani yake?
Hall kama hall bei ni ndogo kwani hakuna kuta za ndani
Baba kwenye ramani kuna;Hapana picha ya ku download tu, lakn unaweza fanya makisio mtaalam 💪
Masikini huwaza NYUMBA kwanzaHongera sana kwake.....pia ushauri wa bure.....atafute kiwanja ajenge chumba sebule hata 40 akiweza atanishukuru baadae.....chumba 1 ....10ft by 10ft ni 1mil tu ....ushauri wa bure.....mpira suala mpito
.
Kwani Tanzania kuna matajiri wa ukweli wangapi?Masikini huwaza NYUMBA kwanza
Room moja nzuri kiasi itachezea 8.5m hadi 12mnilijenga kijumba mwanza nlimpa mtu anisimamie kosa nililofanya kutonakiri matumizi hela ilikua inatoka kwa mafungu, lakn najua ni zaidi ya 10M kidogo kdogo kwa miaka miwili.. this time ata msumari mmoja ntaandika.
Ndio nilichomaanisha na mawazo yetu yapo kimasikini. Naenda benki nakopa milioni Tisa napeleka kwenye ujenzi, pesa zinaisha zote ujenzi haujaisha nabaki hata hela ya mboga Sina.Kwani Tanzania kuna matajiri wa ukweli wangapi?
Hii ni nchi ya mafukara wote tu
Kwa hakika kukopa ujenge nyumba ni ujuhaNdio nilichomaanisha na mawazo yetu yapo kimasikini. Naenda benki nakopa milioni Tisa napeleka kwenye ujenzi, pesa zinaisha zote ujenzi haujaisha nabaki hata hela ya mboga Sina.
Kama imani yako ni rahisi namna hii, basi chukua na hili. Mimi hapa nina gari linatumia maji hivyo sina gharama za kununua mafuta. You see?Naomba nilelekeze kwa ufupi ku balance milion milion moja kutoa chumba na hatua itakayofika, umesema umejenga 10 kwa style hyo hvo sina shaka na uzoefu wako
Sema Mkuu tuongelee dar maisha yalivo ghali, gharama ya kupanga mfano 3M kwa mwaka si bora ujibane udundulize hata 15M ukajistiri kwako? Familia hz na vijana wanasoma, wanakua utapanga had lini? Tofauti na hapo ukae uswazi vyumba had elf 30 vipo kwa mwezi! nafikiri ni kipaumbele cha mtu anataka akae vp na familia yake na kipato piaMasikini huwaza NYUMBA kwanza
Matajiri hua mnawaza nini?Masikini huwaza NYUMBA kwanza