Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Huu ni kweli mchungu, Manula amekuwa akisemwa ni 'Tanzania one' na maneno kibao, lakini ukweli ni kipa wa kawaida sana na kwa kuwa ni wa kawaida naomba niseme timu ya Taifa na Simba hazitafikia kilele cha mafanikio.
Ili timu ifikie kilele cha mafanikio inahitaji kuwa na kipa aliyekamilika wataalamu wanaita A GOOD STOPPER,
Kuna kipindi kipa anatakiwa aibebe timu, hasa kwenye mazingira magumu, hii ndio sifa ya STOPPER,
Kwa kipindi cha nyuma Smba waliwahi kufikia angalau mafanikio ya juu, kwa kuwa na STOPPER kama JUMA KASEJA
Naomba niseme sioni Smba ikitusua mbali zaidi kwa kuendelea kuwa na makipa wa kiwango cha Manula. Hata timu yetu ya Taifa haitafika popote kwa kuendelea kuwa na makipa wakiwango cha Manula
Hebu angalia mtu kama Kakolanya au Jma Kaseja wa enzi zake au yule Dida( Deo Munishi) wa Yanga, kuna kipindi waliziokoa timu zao, zilipokuwa kwenye mazingira magumu
Sikatai Manula ni golikipa mzuri ila sio Stopper wakuifikisha kwenye kilele cha mafanikio Smba na timu ya Taifa,
Ili timu ifikie kilele cha mafanikio inahitaji kuwa na kipa aliyekamilika wataalamu wanaita A GOOD STOPPER,
Kuna kipindi kipa anatakiwa aibebe timu, hasa kwenye mazingira magumu, hii ndio sifa ya STOPPER,
Kwa kipindi cha nyuma Smba waliwahi kufikia angalau mafanikio ya juu, kwa kuwa na STOPPER kama JUMA KASEJA
Naomba niseme sioni Smba ikitusua mbali zaidi kwa kuendelea kuwa na makipa wa kiwango cha Manula. Hata timu yetu ya Taifa haitafika popote kwa kuendelea kuwa na makipa wakiwango cha Manula
Hebu angalia mtu kama Kakolanya au Jma Kaseja wa enzi zake au yule Dida( Deo Munishi) wa Yanga, kuna kipindi waliziokoa timu zao, zilipokuwa kwenye mazingira magumu
Sikatai Manula ni golikipa mzuri ila sio Stopper wakuifikisha kwenye kilele cha mafanikio Smba na timu ya Taifa,