mike2k
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 1,571
- 3,448
Awamu ya hofu hata vyombo vya habari vilikuwa na hofu ajali kama hizi zilikuwa hazitangazwi kwa upana wakeAwamu ya hofu hatukuona ajali kama hizi. Trafiki na polisi walisimamia sheria za barabarani ipasavyo ila Sasa awamu hii isiyo ya hofu tunapoteza watu kila siku.