mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Tushawahi kumtandika dereva wa bm coach wkt fulani kwa uendeshaji wakePoint hiyo ni muhimu sana
Usalama wa abiria unaanza na sisi wenyewe, lakini Utakuta basi linaendwshwa mwendo wa ovyo
Abiria wamekaaa tu hawamkanyi dereva
Hata kama kufa kupo lkn hutakiwi kufa kizembe
Ova