Ajali Dodoma: Basi la Geita Express limegongana uso kwa uso na Fuso, watu wanne wathibitka kufariki

Ajali Dodoma: Basi la Geita Express limegongana uso kwa uso na Fuso, watu wanne wathibitka kufariki

Daah Mungu awasaidie majeruhi,
Ila ajali sasa imekuwa too much, na naona tunaanza kuona ni kitu cha kawaida.

Hivi kweli, bado hatujajua nini kifanyike Kupunguza ajali??
Njia zitanuliwe na madereva wafunzwe nidhamu ya uendeshaji. Yote hayo yakifanyika itakuwa ajabu sana kusikia gari imepata ajali.

Ajali zetu nyingi ni za uso kwa uso sababu ya barabara finyu. Pia uzembe wa uendeshaji wa kuovertake kwenye kona kali na miinuko ambazo ni blindspots.
 
Back
Top Bottom