Ajali iliyohusisha Magari Nane, maelezo ya Polisi yanatia shaka

Polisi kiutani utani mnaliingiza Taifa kwenye aibu ya mwaka kwa kuunga unga facts ambazo mwenye akili timamu anajua ni uongo mtupu.
 
Mbona huyo Mwenye Lorry yuko sahihi upande wake wa kushoto? Na inaonekana hilo basi jeusi la polisi ndio limemfuata upande wake?! Huu ujinga gani huu wanaleta?
Mkuu kwa kuangalia hiyo tu picha huwezi tambua mpaka uwe unalielewa eneo ikiwemo hiyo picha imepigwa toka upande gani.
 
Mkuu kwa kuangalia hiyo tu picha huwezi tambua mpaka uwe unalielewa eneo ikiwemo hiyo picha imepigwa toka upande gani.
Wewe ni mpumbavu sana, wewe ni hooligan , uiwe unapinga ujinga, ukute hata Suzuki Swift huna
 
Mimi nina V8 na nina ishi kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi Mbezi. Unafikiri mimi ni utopolo kama wewe!
Ewaaaaa, ndio maana akili zako ziko hivi zilivyo! Mnalinda matumbo yenu mnanyonya maskini, mjinga mkubwa wewe, you will soon pay....subiri.
 
chanzo cha ajali ni polisi hiyo iko obvious kabisa. ukiangalia gari ya kwanza ya polisi iko wrong site. alikuwa anatafuta nn huko? kama kuovertake je alijiridhisha kuko salama?
hilo halitoshi bado gari ya pili ikagonga hapo hapo ina maana alikuwa spidi sana.
 
Hii report ina walakin,,, maana hata plate number ya tela iliyoandikwa kwenye report ni tofauti na plate number inayoonekana kwenye picha,
Inawezekanaje hii???[emoji848]
Nasikitika watu wanalidiscuss lori wanaloliona pichani wakati lori lililotajwa kwenye maelezo siyo linaloonekana kwenye picha...

Watu wanashindwa kuuliza vitu vya msingi kama hivyo...

Usishangae hilo lori lililotajwa kwenye maelezo hata halikuwepo eneo la ajali ila polisi wameliweka ili kufunika makosa ya hilo basi la PT lililokuwa linaovertake.
 
Unajifanya MJUAJI utadhani ulikuwepo wakati ajali inatokea!!
Mimi nimesoma Crash investigation unaweza ukapewa tu picha ya ajali na mchoro ukatakiwa kurecreate video ajali ilitokeaje?

Usione kama ni vitu vya ajabu hiyo ajali iko simple inajieleza.
 
Mkuu Shalom,
Kwa hiyo unasuspect lori lililosababisha ajali limekimbia?
 
Na sio No tu na hata hicho kichwa cha lorry ni FAW na sio HOWO me naona watu wanatiririka tuu au kuna picha nyingine mimi sijaziona
We ni mtu wa tatu unayefikiria sawasawa hunu JF?

Kiukweli nimesikitika sana vitu watu wanachangia...

Maelezo ya Polisi ni ya uongo sababu hayaendani na picha zinazooneshwa.
 
Upo sawa
 
Hiyo HOWO ikowapi kwani naona kila mtu dereva wa HOWO mara hivi mara vile kwenye hizo picha mi nimeona kichwa cha lorry ni FAW
Suala la Howo wewe ndio umenifumbua macho ila toka mwanzo nilidoubt suala la plate number....

Kwamba plate za Lori linalotajwa kwenye report halipo pichani.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…