Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi kiutani utani mnaliingiza Taifa kwenye aibu ya mwaka kwa kuunga unga facts ambazo mwenye akili timamu anajua ni uongo mtupu.Nimejaribu kusoma kwa utulivu kisha nikaangalia picha, naona kama yanapingana na uhalisia, anyway Wajuvi nisaidieni, lory HOwo ame-ovrtake kweli hapo??
Afande taarifa ya ajali:
KAB/TR/ar/16/2021(×)ajali ya magari manane kugongana na kusababisha majeruhi na uharibifu wa magari (×) mnamo tar 14/11/2021 majira ya saa 18:30 huko katika kijiji cha Kwedilomba kata ya Kwedibomba tarafa ya mzundu wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga barabara kuu ya Segera-Chalinze gari No.T.131 DVU aina ya HOW yenye tela No.T.329 DMR ikiendeshwa na Saimon S/O kristo @Mwanyila, 36yrs, Mbena, mkazi wa Kibaha Pwani akitokea kabuku kuelekea Chalinze alipokuwa akijalibu kulipita gari la mbele yake mahala pasipo ruhusiwa ndipo ghafla mbele yake kukatokea gari nyingine iliyokuwa ikitokea Chalinze kuelekea kabuku yenye No.Pt.4036 ashok leyland mali ya jeshi la polisi Tanzania likiendeshwa na H.3637 CPL Juma wa chuo cha Polis CCP Kilimanjalo na ndipo dereva wa gari No.Pt.4036 alisimama ghafla ili kuepuka ajali isitokee na ndipo baada ya gari hiyo kusimama ghafla ikatokea gari nyingine kwa nyuma iliyokuwa ikitokea Chalinze kuelekea Kabuku PT.4087 ashok leyland ikiendeshwa na F.7658 CPL John Robert wa makao makuu madogo ya polisi DSM na kugonga kwa nyuma.
Ghafla tena ikaja gari nyingine kwa nyuma No.Pt.4097 ashok leyland ikiendeshwa na F.5889 CPL Kigiri wa Polisi makao makuu madogo ya Polisi DSM na kusimama ghafla PT.4087 ashok leyland na kusababisha gari No. PT.2370 Isuzu bus ikiendeshwa na g.6123 CPL abel wa chuo cha polisi Kidatu na kugonga ubavuni gari no.Pt.4087 ashok leyland pia ikatokea tena gari No.T.573 AYR toyota corolla ikiendeshwa na Amin S/O UR Rasul@Khan, 60yrs, mkazi wa Tanga na kusimama ghafla baada ya kuona ajali na kusababisha gari no.SU 44275 gx v8 mali ya TANESCO DSM ikiendeshwa na Tuma S/O Hassan lean na kuigonga kwa nyuma gari hiyo no.T.573 AYR Toyota corolla pia ikasababisha gari nyingine yenye no T.773 CND Toyota hilux kuigonga kwa nyuma gari hiyo no.Su.44275 GXV8 TANESCO na kusababisha majeruhi kwa watu 16 ambao ni 1.D.8420 s/SGT John Mwakipesile 2.Pf.18891 insp sister 3.G.6123 CPL Abel ambao wote watatu wamepelekwa hospitali ya rufaa Bombo kwa matibabu
Na 4.Pf.17534 insp Rashida 5.Pf.18326 insp Nyalugembe 6.Pf.17896 insp Gonga 7.Pf.18202 insp Said 8.Pf.17166 insp Ally juakal 9.Pf.17899 insp Sanya 10.Pf.18445 insp pangane 11.Pf.17691 insp Peter 12.Pf.18719 insp Ohusso 13.Pf.17321 insp Ilomo 14.Pf.18616 insp Anthony 15.Pf.17674 insp Zongho 16.H.1659 pc gift (×) majeruhi wote wameumia sehemu mbalimbali za mwili na kutibiwa kituo cha afya Kabuku na kuruhusiwa (×) chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa gari no.T.131 dvu how yenye tela no.T.329 dmr kujalibu kulipita gari iliyokuwa mbele yake pasipo kuchukuwa tahadhali (×) dereva amekamatwa yupo mahabusu kituo cha polisi Kabuku kwa ajili ya mahojiano (×) eneo la tukio limekaguliwa na acp. Sofia jongo rpc Tanga akisaidiwa na ssp leopord .N. Fungu rto tanga , sp. Elias Rwambano ocs Kabuku, a/insp Rajabu kaimu DTO Handeni pamoja na g.3191 cpl Mussa ambaye ndiye amechora na kupima eneo la tukio (×)///////////
Taarifa kwa maandishi inafuata //////////
Toka rto tanga ///////////
Muulize Simbachawene, alisema ni either standard seven au form four failureHarafu mbona huwa wanaandika kwa herufi KUBWA?
Mkuu kwa kuangalia hiyo tu picha huwezi tambua mpaka uwe unalielewa eneo ikiwemo hiyo picha imepigwa toka upande gani.Mbona huyo Mwenye Lorry yuko sahihi upande wake wa kushoto? Na inaonekana hilo basi jeusi la polisi ndio limemfuata upande wake?! Huu ujinga gani huu wanaleta?
Wewe ni mpumbavu sana, wewe ni hooligan , uiwe unapinga ujinga, ukute hata Suzuki Swift hunaMkuu kwa kuangalia hiyo tu picha huwezi tambua mpaka uwe unalielewa eneo ikiwemo hiyo picha imepigwa toka upande gani.
Mimi nina V8 na nina ishi kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi Mbezi. Unafikiri mimi ni utopolo kama wewe!Wewe ni mpumbavu sana, wewe ni hooligan , uiwe unapinga ujinga, ukute hata Suzuki Swift huna
Ewaaaaa, ndio maana akili zako ziko hivi zilivyo! Mnalinda matumbo yenu mnanyonya maskini, mjinga mkubwa wewe, you will soon pay....subiri.Mimi nina V8 na nina ishi kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi Mbezi. Unafikiri mimi ni utopolo kama wewe!
Utaiendeshea ndotoniMimi nina V8 na nina ishi kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi Mbezi. Unafikiri mimi ni utopolo kama wewe!
Hata form form failure hawana akili mbovu kiasi hiki mkuu.Muulize Simbachawene, alisema ni either standard seven au form four failure
Hahahah basi ni bangiHata form form failure hawana akili mbovu kiasi hiki mkuu.
Wewe ndio mtu wa kwanza ambaye umeitumia akili yako vizuriKuna mkanganyo mkubwa:
1: Namba ya tela inayotajwa siyo inayoonekana kwenye picha, labda kuna gari jingine?
2: Mpaka upate namba za magari yote kwa uhakika ndo unaweza kujua ukweli.
Nasikitika watu wanalidiscuss lori wanaloliona pichani wakati lori lililotajwa kwenye maelezo siyo linaloonekana kwenye picha...Hii report ina walakin,,, maana hata plate number ya tela iliyoandikwa kwenye report ni tofauti na plate number inayoonekana kwenye picha,
Inawezekanaje hii???[emoji848]
Mimi nimesoma Crash investigation unaweza ukapewa tu picha ya ajali na mchoro ukatakiwa kurecreate video ajali ilitokeaje?Unajifanya MJUAJI utadhani ulikuwepo wakati ajali inatokea!!
Wewe ndio mpumbavu mkuu...Peleka upumbavu wako huko,kusoma hujui hata picha ?
Mkuu Shalom,Nasikitika watu wanalidiscuss lori wanaloliona pichani wakati lori lililotajwa kwenye maelezo siyo linaloonekana kwenye picha...
Watu wanashindwa kuuliza vitu vya msingi kama hivyo...
Usishangae hilo lori lililotajwa kwenye maelezo hata halikuwepo eneo la ajali ila polisi wameliweka ili kufunika makosa ya hilo basi la PT lililokuwa linaovertake.
We ni mtu wa tatu unayefikiria sawasawa hunu JF?Na sio No tu na hata hicho kichwa cha lorry ni FAW na sio HOWO me naona watu wanatiririka tuu au kuna picha nyingine mimi sijaziona
Upo sawakwa maelezo tajwa, dereva na lori lilihusishwa kuovertake halipo hapo..ukisoma tela no according to hiyo report na ukiangalia trailer iliyopo pichani haziwiani usajili.. huyo aliyehama na kwenda kubusanisha vyuma alitanua kulia badala ya kushoto baada ya gari ya mbele yake kusimama ghafla.. ishu kubwa hapo ni mwendo waliokuwa nao walinda usalama wa raia na mali zao, walikuwa mwendo wa msafara bila kisafisha njia wala strobes ..yaani mtaani tunasema walikuwa wanamwaga moto bila king'ora wala vimulimuli. hivyo basi, huyo deree aliyeacha zahma huko nyuma (inasemekana aliosha yaani chap kwa haraka )asibebeshwe zigo lote ..makosa ya kibinadamu yalitokea pande zote ..situation awareness and defensive driving haikukamilika kotekote.
Suala la Howo wewe ndio umenifumbua macho ila toka mwanzo nilidoubt suala la plate number....Hiyo HOWO ikowapi kwani naona kila mtu dereva wa HOWO mara hivi mara vile kwenye hizo picha mi nimeona kichwa cha lorry ni FAW