Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
HaaHii ndo ile ukisikia kwa jumbe kuna ngondo,,,
Ukisikia Kijumbe Kafa Halafu Ilikuwa Zamu Yako Ulipwe Cash Ya Vicoba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaHii ndo ile ukisikia kwa jumbe kuna ngondo,,,
Hapo Sasa,Hivi intelejensia ya polisi haiwezi kuzuia AJALI?
Hiyo polisi aliyeandika maelezo ni wa kufunga
Afande Mtafungwa Atoe MaelezoHapo polisi wanajaribu kutaka kukwepa lawama lakini chanzo cha ajali ni wao
Hizo zilizo tapakaa kwenye lami ni Damu au oil na mafuta ya gari?
Aliwaona hao mafala wakikimbizanaIla huyo dereva wa howo ni muhuni sana kawaachia mapoti waseme na tela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa defensive driving anaielewa vizuri lasivyo angesha kutana na izraelIla huyo dereva wa howo ni muhuni sana kawaachia mapoti waseme na tela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute Howo alimaliza kuovateki na kurudi upande wake wa kushoto lakini kutokana na mwendo kasi wa Ashok ya nyuma akashindwa kufunga break akaamua kutanua kulia ili asimgonge Ashok mwenzake ndio akakutana na Howo. Just thinking [emoji848].
Kungulu mjanja kaficha uso wake.Ila huyo dereva wa howo ni muhuni sana kawaachia mapoti waseme na tela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
... ndio polisi wa Tanzania; nguzo yao kuu ni UONGO! Kama jambo la wazi hivi wanadanganya, yale ya sirini hali ikoje? Kinachoitwa taarifa za polisi nchi hii sio cha kuamini kabisa!Hapo polisi wanajaribu kutaka kukwepa lawama lakini chanzo cha ajali ni wao