kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
PGO imewashinda hata Sheria barabarani zinawashinda jaman bado rto unadanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye kajisalimisha safi, halafu kawaachia mzigo nyuma waseme nao 😂😂😂Ila huyo dereva wa howo ni muhuni sana kawaachia mapoti waseme na tela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Doesn't click, angalia mistari. Polisi ali-overtake sehemu isiyoruhusiwa, na alikua amamu-overtake PT mwenzieUkute Howo alimaliza kuovateki na kurudi upande wake wa kushoto lakini kutokana na mwendo kasi wa Ashok ya nyuma akashindwa kufunga break akaamua kutanua kulia ili asimgonge Ashok mwenzake ndio akakutana na Howo. Just thinking [emoji848].
Amazing analysis...1. Polisi walikua mwendo kasi kuanzia 80kph.
2. Dereva wa polisi aliovertake sehem isiyoruhusiwa akiwa kwenye mwendo mkali.
3. Baada ya overtake akakutana na lori uso kwa uso ila mwenye roli kajitahidi sana kumwepa.
4. Msafara wa polisi ulio nyuma yao sababu ulkua kwenye mwendo mkali wakajikuta kila mmja anagonga gari la mbele yake, pia hilo ni tatizo la kuendesha mwendo mkali bila kuchukua tahadhari yan walikalibiana sana nd maana wakagongana ovyo ovyo.
5. Polisi wamezembea barabarani, tatizo ajali wanapima wenyewe nd maana dereva wa Lori asie na makosa wamempa kesi ila mwenye makosa ni dereva wa bus la polisi alieovertake sehemu iliyokatazwa.
Polisi wawajibike kwa uzembe wanakataa makosa yao kwan wao ni malaika wamekosea wakubali tu mbn ni kitu kidogo tu.
"[emoji3][emoji3]Kawapelekea moto"Ila huyo dereva wa howo ni muhuni sana kawaachia mapoti waseme na tela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
You nailed it, walijifanya ni akina Sauli na ImaniView attachment 2013601
Ukiangalia kwenye picha hapo utaona Dereva wa lori alikuwa kwenye njia yake. Afande Dereva akimpita afande Dereva mwenzaka. Kama alivyosema afande muandika ripoti sehemu hairuhusiwi ku-overtake, probably ni blind spot. Ghafla bin vuu!, madereva wote wakaona uwezekano wa ajali. Kwa defensive driving ya kiwango cha juu, dereva wa lori akachezesha kichwa na kuacha trailer.
Eti ???"[emoji3][emoji3]Kawapelekea moto"
Ndiyo Ukweli Wenyewedereva wa howo atakuwa ameambiwa sisi tunaandika maelezo wewe utasaini tu.
Apa picha zinaonesha kama gari la polisi ndiyo zilikiwa zina overtake na wala siyo lorryAngalieni hizo picha, mkao wa lory, mistari na mkao wa magari ya Polisi. I stand to be corrected
View attachment 2013488
View attachment 2013489
View attachment 2013490
Ungemfuta Kazi Ukamtupa NdaniNingekua Mimi ndo Wazuri wa Mambo ya ndani, huyu aliyeandika maelezo hayo ama kuyasoma, sijui ni Kamanda wa Police angekua wa kwanza Kufukuzwa!
Unabishana na Jeshi la Polisi?Apa picha zinaonesha kama gari la polisi ndiyo zilikiwa zina overtake na wala siyo lorry
Kweli polisi kumejaa vilaza sasa hapa aliye kwenye site yake si Hilo HOWO wajameni,gari ya polisi ndio ilikuwa ina overtake!!lakini Hawa mbwa watamlazimisha huyo dereva wa lory akubali kosa.Angali lory lipo kwenye mstari wake, ila angali picha nyingine dereva wa Lory kakwepesha kichwa chake, dereva wa Gari ya Polisi kaingia hapo. Tusaidiane kuujua ukweli
View attachment 2013481
View attachment 2013482
View attachment 2013483
Ni Askari sio Mbwa....au kuna mbwa hapo hahahahKweli polisi kumejaa vilaza sasa hapa aliye kwenye site yake si Hilo HOWO wajameni,gari ya polisi ndio ilikuwa ina overtake!!lakini Hawa mbwa watamlazimisha huyo dereva wa lory akubali kosa.