Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... ajali wasababishe wao, maelezo waandike wao, kukamata wakamate wao, kushtaki washtaki wao, ushahidi watoe wao! Duh! Kuna haki itatendeka hapo?dereva wa howo atakuwa ameambiwa sisi tunaandika maelezo wewe utasaini tu.
Hata kama ni hivyo, Makosa kwa mujibu wa picha yanaonekana waziUkute Howo alimaliza kuovateki na kurudi upande wake wa kushoto lakini kutokana na mwendo kasi wa Ashok ya nyuma akashindwa kufunga break akaamua kutanua kulia ili asimgonge Ashok mwenzake ndio akakutana na Howo. Just thinking [emoji848].
... halafu kuna wapumbavu wanatamani social media zifungiwe! Tuishi gizani.Hawa ndio watu unategemea watoe ushahidi wa kueleweka mahakamani, thubutu!!!
Picha ziko wazi kabisa, tena sitashangaa waliozisambaza wakaandamwa na kuchukuliwa hatua. Picha hazihitaji maelezo kujua nani ana makosa yaliyopelekea ajali.
Labda walikuwa wanawahi uchaguzi mdogo!Duh
Ova
... "akaamua kutanua ili asimgonge ashok ya nyuma"; huo ndio utaratibu? Ukikutana na trafiki kwenye anga zao unaweza kuweka huo utetezi mezani wakakuelewa?Ukute Howo alimaliza kuovateki na kurudi upande wake wa kushoto lakini kutokana na mwendo kasi wa Ashok ya nyuma akashindwa kufunga break akaamua kutanua kulia ili asimgonge Ashok mwenzake ndio akakutana na Howo. Just thinking [emoji848].
... halafu kuna wapumbavu wanatamani social media zifungiwe! Tuishi gizani.
Only in TanzaniaWanajichunguza
Wanajitolea maelezo
Wanaenda kutojitolea ushahidi
😂😂😂Nimesoma nikapotea ndani ya maelezo. Nami nimechanganywa nikatoka kapa nimebaki kusoma number plate na majina tu. NIMECHOKA SANA.View attachment 2013496
TUKIO LIMEKAGULIWA NA
ACP. SOFIA JONGO RPC TANGA
AKISAIDIWA NA
SSP LEOPORD .N. FUNGU RTO TANGA , SP. ELIAS RWAMBANO OCS KABUKU, A/INSP RAJABU KAIMU DTO HANDENI PAMOJA NA G.3191 CPL
MUSSA AMBAYE NDIYE AMECHORA NA KUPIMA ENEO LA TUKIO
Walikua wanaenda MkomaziLabda walikuwa wanawahi uchaguzi mdogo!
😀😀😀Ila huyo dereva wa howo ni muhuni sana kawaachia mapoti waseme na tela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona huyo Mwenye Lorry yuko sahihi upande wake wa kushoto? Na inaonekana hilo basi jeusi la polisi ndio limemfuata upande wake?! Huu ujinga gani huu wanaleta?
Hahahah nimeipenda sana hii kwa Jumbe kuna Ngh'ondoHii ndo ile ukisikia kwa jumbe kuna ngondo,,,
Na yuko lockup HahahahShangaa na wewe mheshimiwa...dereva wa lori yuko ndani na ndio mtuhumiwa wa kwanza kusababisha hiyo ajali.