Ajali iliyohusisha Magari Nane, maelezo ya Polisi yanatia shaka

Hawa Polisi wenzako hata hawafai, Ila Howo mjanja sana, gari lake ziiima, Tela lake ni chuma cha pua, akitoka hapo tajiri anampa allowance yake pooowa kabisa.

gari iko powa??unaandika nini wewe umeona hiyo mipira??

sema dereva mzima,sio lori zima.
 
Nimeshapata misukosuko mingi Sana huko barabarani. Ila kitu niligundua ni kwamba kesi zinazohusu ajali barabarani huwa hazina ushahidi. Kile atakachoandika trafiki ndio ukweli, sana unaishia kuambiwa kama unakubali au unakataa kosa uliloandikiwa. Ili kuokoa muda pia kuondokana na usumbufu unaishia kukubali kosa na kulipa hiyo faini.
 
Ukute Howo alimaliza kuovateki na kurudi upande wake wa kushoto lakini kutokana na mwendo kasi wa Ashok ya nyuma akashindwa kufunga break akaamua kutanua kulia ili asimgonge Ashok mwenzake ndio akakutana na Howo. Just thinking [emoji848].
Aliekuwa anaovertake ni lori au gari ya polisi? Manake aliegongwa ni lori tena akiwa upande wake.
 
Dereva wa Lori alijaribu kurudi kwenye njia yake baada ya kuona uso kwa uso lakini bahati mbaya horse tu ndio ilifanikiwa, tela ndio ikasababisha ajali
ukitizama kwa makini kwenye lami hiyo picha ya mwisho utaona jinsi tairi za kichwa zilivyoacha alama kwenye lami kutoka upande mmoja kwenda mwingine
Ifahamike pia picha huwa inajigeuza hapo ndio wengi mnajichanganya kupata uelekeo
 
Hebu angalia tena hizo picha taratibu kabisa









 
Umenena vyema
 
Hapa natafakari hilo lorry lingekua ni mali ya jeshi sijui wangetunga uongo gani?
Maskini Kristo anabebeshwa msalaba na kwenda kusulubiwa kwa kosa asilolitenda.
 
Hawa madereva wa polisi walikuwa wanashindana barabarani na kusababisha ajali na majeruhi, sasa wanamuangushia zigo la kesi dereva raia. Ajabu hadi RPC anahusika kwenye kubambika kesi kwa raia, aibu kubwa, wanathibitisha mashaka ya raia juu ya uadilifu wa jeshi la polisi.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…