Ajali iliyohusisha Magari Nane, maelezo ya Polisi yanatia shaka

Ajali iliyohusisha Magari Nane, maelezo ya Polisi yanatia shaka

1. Polisi walikua mwendo kasi kuanzia 80kph.
2. Dereva wa polisi aliovertake sehem isiyoruhusiwa akiwa kwenye mwendo mkali.
3. Baada ya overtake akakutana na lori uso kwa uso ila mwenye roli kajitahidi sana kumwepa.
4. Msafara wa polisi ulio nyuma yao sababu ulkua kwenye mwendo mkali wakajikuta kila mmja anagonga gari la mbele yake, pia hilo ni tatizo la kuendesha mwendo mkali bila kuchukua tahadhari yan walikalibiana sana nd maana wakagongana ovyo ovyo.
5. Polisi wamezembea barabarani, tatizo ajali wanapima wenyewe nd maana dereva wa Lori asie na makosa wamempa kesi ila mwenye makosa ni dereva wa bus la polisi alieovertake sehemu iliyokatazwa.
Polisi wawajibike kwa uzembe wanakataa makosa yao kwan wao ni malaika wamekosea wakubali tu mbn ni kitu kidogo tu.
Cheki unavojifanya mjuaji utadhani ulikuwepo wakati ajali inatokea...
 
Police is both a procecutor, investigator and detention officer..so tusishangae hapo..wanaendesha hovyo wamesababisha ajali lakini wanataka kumwangushia mtu zigo la mavi..na inavyoonyesha hapo walikuja kwenye msafara so wao ndo walikuja wanetanua kisa wanewashs full light.
 
Ajali ina mambo mengi sana na ningumu kuitolea maelezo kama hukuwepo au kuhoji mashuhuda..

Unaweza kukuta unachoeleza wewe ni matokeo baada ya chanzo cha ajali, yaani hao wote walifikis huko kutokana na makosa ya mtu A...
Labda useme hizo picha sio halisi. Lkn mbona ziko nyingi na zinaonyesha tukio ktk angle tofauti-tofauti?

Vv
 
Dereva wa Lori alijaribu kurudi kwenye njia yake baada ya kuona uso kwa uso lakini bahati mbaya horse tu ndio ilifanikiwa, tela ndio ikasababisha ajali
ukitizama kwa makini kwenye lami hiyo picha ya mwisho utaona jinsi tairi za kichwa zilivyoacha alama kwenye lami kutoka upande mmoja kwenda mwingine
Ifahamike pia picha huwa inajigeuza hapo ndio wengi mnajichanganya kupata uelekeo
Kama picha 'imejigeuza' hayo maandishi 'POLISI' kwenye magari yao yangedomeka 'SILIPO', usitetee ujinga.

Vv
 
Kupitia haya maelezo ya POLISI ndio Jamiii imepata ni uongo kiasi gani wanaupika ili kubambika Raia makosa. Ni uonevu mkubwa sana na inaonyesha ni kiasi gani hakuna weledi kwenye Jeshi la Polisi.
Kaka yangu SIRRO hapo Tanga walikudanganya kuhusu mauaji wa Askari kule Mpakani Tanga, lkn ulipobaini ukweli uliwajibisha wazembe. Nakusihi pia katika hili chukua hatua kali sana Kamanda. Huyu RPC aliyetoa hii taarifa mpe haki yake ili iwe mfano kwa wengine wanaopika taarifa.
 
Huyo dereva wa lorry anatakiwa kupewa hela za uanaume. Amemalizana nao kibabe sana maboya hao.

Sasa wao walivyokuwa wamejaa walitegemea jamaa afanyaje na hiyo si sehemu sahihi kuovertake.

Nitashangaa sana kama asasi za kiraia zitakalia hili swala kimya ikitokea Askari wakamhukumu huyu dereva asie na hatia ya kosa lolote.
 
Back
Top Bottom