1. Polisi walikua mwendo kasi kuanzia 80kph.
2. Dereva wa polisi aliovertake sehem isiyoruhusiwa akiwa kwenye mwendo mkali.
3. Baada ya overtake akakutana na lori uso kwa uso ila mwenye roli kajitahidi sana kumwepa.
4. Msafara wa polisi ulio nyuma yao sababu ulkua kwenye mwendo mkali wakajikuta kila mmja anagonga gari la mbele yake, pia hilo ni tatizo la kuendesha mwendo mkali bila kuchukua tahadhari yan walikalibiana sana nd maana wakagongana ovyo ovyo.
5. Polisi wamezembea barabarani, tatizo ajali wanapima wenyewe nd maana dereva wa Lori asie na makosa wamempa kesi ila mwenye makosa ni dereva wa bus la polisi alieovertake sehemu iliyokatazwa.
Polisi wawajibike kwa uzembe wanakataa makosa yao kwan wao ni malaika wamekosea wakubali tu mbn ni kitu kidogo tu.