Ajali iliyoua watu 17 Tanga imeondoka na Mume, Watoto 2 na Mjukuu

Wachaga na makabila mengine wenye huu mtindo wa kwenda kuzika mikoani waache nao umepitwa na wakati lasivyo matukio kama haya yataendelea
 
Mioyo yao imepooza kwa kutanguliza kitu sio utu, dah hiyo kauli ingesemwa na watu wa nje sio mwanafamilia labda kidogo wangesubiri wazike,, aisee balaa hili
Ni kawaida kwa binadamu hata ungekuwa wewe ungesema maneno hayo hayo maana yapo ktk mtiririko wa sentence moja ya kuonyesha jinsi gani tukio fulani limekuumiza na pia hatujui kiini cha jibu hilo labda mwandishi aliuliza swali lenye maudhui hayo.
 
Ni kawaida kwa binadamu hata ungekuwa wewe ungesema maneno hayo hayo maana yapo ktk mtiririko wa sentence moja ya kuonyesha jinsi gani tukio fulani limekuumiza na pia hatujui kiini cha jibu hilo labda mwandishi aliuliza swali lenye maudhui hayo.
Mh hata mwandishi kuuliza haikutakiwa kulijibu kiivyo na mwandishi nae kuuliza swali la mlengo huo sio utu
 
Wachaga na makabila mengine wenye huu mtindo wa kwenda kuzika mikoani waache nao umepitwa na wakati lasivyo matukio kama haya yataendelea
Mzee!!!

Kifo kikipangwa ufe/mfe utakufa au mtakufa tu,haijalishi unaenda Msanga au makaburi ya Kisutu.kuacha kusafiri hakujawahi kufanya ajali zizisitokee unless umeamua kujitoa ufahamu tu.
 
Pole saana mzee
 
Tatizo wachaga wana mila nyingi bado. Wachek kwenye makabrasha yao huenda wazee wao hawajapata mbege bado
Kwakweli wajichunguze vizuri, tatizo la koo kubwa hamnaga maelewano tena viongozi wawe ni kizazi chetu hiki aaah hawachelewi kukwambia tupo digital, mi kwenye familia nilijaribu kidogo kuweka ishu sawa kusuluhisha migogoro ila vikwazo nilivyopata hamu sina, na vile ni ke basi tunadharaulika, nikaachana navyo kwetu ni kule nilikoolewa fullstop
 
🤣🤣🤣

Sasa wakibosho hadi leo wanatafuna mkungu mzima wa ndizi mbichi na kutema kwenye kaburi la mzazi...eti km ni wewe umeua unakufa🤣🤣🤣🤣🤣

Mtoto wa nje ya ndoa ambaye mama alimsingizia baba hazikwi kwenye mji ule kwakuwa ikifanyika hivyo msururu utaambatana nae

Yani mila lukukii
 
Mila ndo asili yetu wazungu wanatamani wangekuwq nazo ila ndo hivyo, kinachofata ni kutupumbaza ili tudharau mila zetu
 
Mzee!!!

Kifo kikipangwa ufe/mfe utakufa au mtakufa tu,haijalishi unaenda Msanga au makaburi ya Kisutu.kuacha kusafiri hakujawahi kufanya ajali zizisitokee unless umeamua kujitoa ufahamu tu.
Nisawa ila isingetokea kama hivyo ukoo mzima au familia nzima bila survivor katika famillia
 
So sad
 
Nisawa ila isingetokea kama hivyo ukoo mzima au familia nzima bila survivor katika famillia
Mkuu nielewe!!!

Siyo mimi wala wewe anayeijua dakika moja ijayo tutakuwaje kwani unadhani hao marehemu ni mara yao ya kwanza kusafirisha misiba kama hivi?imepangwa iwe hivyo na imekuwa hakuna cha wangebaki mjini wala wangefanyaje hao ilishaandikwa wataondoka saa fulani mwaka fulani na kwa pamoja wakati umefika wametembea.
 
This is so sad! Mungu azilaze roho za marehemu mahali salama. 🙏🏽
 
Miaka 10 iliyopita familia hiyo ya mrema ilitokea ajali wakafariki watu wengine 4 Makanya same,huenda walikua na mitambiko na sasa wameacha
Lakini bado hawakujifunza familia nzima kukaa kwenye gari pamoja , wakati mwingine ni vizuri kugawana usafiri wengine huku wengine kule..

Wapumzike kwa amani.
 
Lakini bado hawakujifunza familia nzima kukaa kwenye gari pamoja , wakati mwingine ni vizuri kugawana usafiri wengine huku wengine kule..

Wapumzike kwa amani.
Yes,watu wasilundikane kwenye bus moja,alisisitiza marehemu babu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…