Ajali katika soka zipo. Goli la Simba ni offside, ilaa mcheza kwao...

Ajali katika soka zipo. Goli la Simba ni offside, ilaa mcheza kwao...

bado mnaweweseka hadi leo

images (3).jpeg
 
Hapana.
Hapo mchambuzi amekosea, ametulisha sumu. Mfungaji (Sakho) alipiga mpira iliokwenda kufunga eneo tofauti na alipokuwepo Kegele, sasa Kegele aliingiliaje huo mpira licha ya kuwa off side?

Pili mchambuzi anasema Berkane wana haki ya kulalamika katika hilo, wakati kiuhalisia hilo goli lilipofungwa hakuna mchezaji wala kiongozi yoyote wa Berkane aliyekwenda kulalamika kwa mwamuzi kuachilia walilikubali.
 
Back
Top Bottom