Ajali katika soka zipo. Goli la Simba ni offside, ilaa mcheza kwao...

Ajali katika soka zipo. Goli la Simba ni offside, ilaa mcheza kwao...

Hapa hakuna cha kushangaa utata uliotokea game ya simba na R.s Berkane ni utata tunauona mara zote ktk ligi ya NBC tena mara nyingi simba awapo kwa mkapa....lazima ashinde kwa magoli/ushindi tata
 
Hapa hakuna cha kushangaa utata uliotokea game ya simba na R.s Berkane ni utata tunauona mara zote ktk ligi ya NBC tena mara nyingi simba awapo kwa mkapa....lazima ashinde kwa magoli/ushindi tata
Kabwili upo wapi? Nyuma mwiko....
 
Hapana.
Hapo mchambuzi amekosea, ametulisha sumu. Mfungaji (Sakho) alipiga mpira iliokwenda kufunga eneo tofauti na alipokuwepo Kegele, sasa Kegele aliingiliaje huo mpira licha ya kuwa off side?

Pili mchambuzi anasema Berkane wana haki ya kulalamika katika hilo, wakati kiuhalisia hilo goli lilipofungwa hakuna mchezaji wala kiongozi yoyote wa Berkane aliyekwenda kulalamika kwa mwamuzi kuachilia walilikubali.
hata mimi nimeshangaa
 
FNv2zGQWYAEjMoj.jpeg
 
Hapana.
Hapo mchambuzi amekosea, ametulisha sumu. Mfungaji (Sakho) alipiga mpira iliokwenda kufunga eneo tofauti na alipokuwepo Kegele, sasa Kegele aliingiliaje huo mpira licha ya kuwa off side...
Kwa sheria za offside, ni kwamba mchezaji akiwa katika eneo la kuotea hapaswi kuuingilia mchezo. Ukiangalia ile mechi, kwanza wakati Sakho anaupiga mpira ule Kagere alikuwa katika eneo la kuotea pili ulivyopigwa mpira ule akauruka.

Hivyo kitendo cha kuuruka ule ni mpira ni kuingilia mchezo.

Mwanamaji
 
Mautopolo yameumia sana, yanataka tufanane tuwe wasindikizaji kama yenyewe.
 
Hapana.
Hapo mchambuzi amekosea, ametulisha sumu. Mfungaji (Sakho) alipiga mpira iliokwenda kufunga eneo tofauti na alipokuwepo Kegele, sasa Kegele aliingiliaje huo mpira licha ya kuwa off side?

Pili mchambuzi anasema Berkane wana haki ya kulalamika katika hilo, wakati kiuhalisia hilo goli lilipofungwa hakuna mchezaji wala kiongozi yoyote wa Berkane aliyekwenda kulalamika kwa mwamuzi kuachilia walilikubali.
Ukiwa kwenye offside position kisha uka block the view of goalkeeper ni kosa kwa sheria za FIFA unakuwa unahesabika kama umeuingilia mchezo.

Angalia video hiyo chini kuna tukio ambalo mchezaji hakuugusa kabisa mpira na wala hakushiriki katika mpira kama vile Kagere alivyoshiriki kwa kuuruka. Ila goli lilikataliwa kwa sheria ya offside kwavile mchezaji alisababisha kipa asiweze kuona move ya kpira ( block view of the goalkeeper)





Mwanamaji
 
Ukiwa kwenye offside position kisha uka block the view of goalkeeper ni kosa kwa sheria za FIFA unakuwa unahesabika kama umeuingilia mchezo.

Angalia video hiyo chini kuna tukio ambalo mchezaji hakuugusa kabisa mpira na wala hakushiriki katika mpira kama vile Kagere alivyoshiriki kwa kuuruka. Ila goli lilikataliwa kwa sheria ya offside kwavile mchezaji alisababisha kipa asiweze kuona move ya kpira ( block view of the goalkeeper)





Mwanamaji

nenda CAS kisinda wewe

408E5D58-6099-42D8-B16A-AB3E33EE9983.jpeg
 
Hapa hakuna cha kushangaa utata uliotokea game ya simba na R.s Berkane ni utata tunauona mara zote ktk ligi ya NBC tena mara nyingi simba awapo kwa mkapa....lazima ashinde kwa magoli/ushindi tata
Sasa mnaenda wapi CAF au FIFA kabisaa wandugu??
 
Ukiwa kwenye offside position kisha uka block the view of goalkeeper ni kosa kwa sheria za FIFA unakuwa unahesabika kama umeuingilia mchezo.

Angalia video hiyo chini kuna tukio ambalo mchezaji hakuugusa kabisa mpira na wala hakushiriki katika mpira kama vile Kagere alivyoshiriki kwa kuuruka. Ila goli lilikataliwa kwa sheria ya offside kwavile mchezaji alisababisha kipa asiweze kuona move ya kpira ( block view of the goalkeeper)





Mwanamaji
Sasa hii inasaidia nini mkuu kutumia nguvu kubwa kulijadili goli halali linalo wafanya simba kufikisha point 7 na kuongoza kundi D
Au ndio wamorocco mnaandaa vielelezo na ushahidi kuelekea FIFA.
 
Unaleta mahaba ya kishabiki badala ya kujadiliana kisheria. Jf sikuhizi utoto mwingi.
Ungekuwa unajua sheria kweli ungekuwa unaheshimu goli halali lilikobaliwa na mwamuzi wa mchezo
Hizo unazoleta wewe ndio porojo na utoto wenyewe kujadili kitu ambacho unajua hakitabadilika kwa namna yoyote hata ukeshe hapa unajaza server za Jf
 
Ungekuwa unajua sheria kweli ungekuwa unaheshimu goli halali lilikobaliwa na mwamuzi wa mchezo
Hizo unazoleta wewe ndio porojo na utoto wenyewe kujadili kitu ambacho unajua hakitabadilika kwa namna yoyote hata ukeshe hapa unajaza server za Jf
Kwahiyo waamuzi huo hawakoseagi pamoja na kutoa maamuzi? Jf ni platform ya kuhabarishana na kuelimishana. Au kwako unadhani ni platform kama ya vijiwe vya kahawa? Na ndio maana wana slogan inayotumika kuwa home of great thinkers. Ni sehemu ya kujadiliana kwa hoja na kujibu kwa hoja. Asa wewe unakuja na ngonjera za kusema goli halali kisa limekubaliwa na refa kana kwamba marefa huwa hawakoseagi. Haya nimekupa sheria inavyosema na mifano unashindwa kujadili hiyo sheria unaruka ruka tu.
 
Back
Top Bottom