Ajali katika soka zipo. Goli la Simba ni offside, ilaa mcheza kwao...

Ajali katika soka zipo. Goli la Simba ni offside, ilaa mcheza kwao...

Sasa hii inasaidia nini mkuu kutumia nguvu kubwa kulijadili goli halali linalo wafanya simba kufikisha point 7 na kuongoza kundi D
Au ndio wamorocco mnaandaa vielelezo na ushahidi kuelekea FIFA.
Halali kivipi kivipi wakati Kagere ameuruka mpira na pia amemziba kipa?

IMG_20220315_091058.jpg
 
Kwa sheria za offside, ni kwamba mchezaji akiwa katika eneo la kuotea hapaswi kuuingilia mchezo. Ukiangalia ile mechi, kwanza wakati Sakho anaupiga mpira ule Kagere alikuwa katika eneo la kuotea pili ulivyopigwa mpira ule akauruka.

Hivyo kitendo cha kuuruka ule ni mpira ni kuingilia mchezo.

Mwanamaji
Umeeleza kwa usahihi kabisa mkuu.
 
Km
Goli la berkane kwangu mimi halikuwa offside.
Sawa kwako kwa kuwa wewe ni kanjanja linapokuja suala la sheria za soka!! Kwa watalaamu walioaminiwa na kupewa beji ya urefarii na FIFA Hilo ni goli lisilo na ubishi!
 
Kuruka siyokuingiia mchezo,
Kwa sheria za offside, ni kwamba mchezaji akiwa katika eneo la kuotea hapaswi kuuingilia mchezo. Ukiangalia ile mechi, kwanza wakati Sakho anaupiga mpira ule Kagere alikuwa katika eneo la kuotea pili ulivyopigwa mpira ule akauruka.

Hivyo kitendo cha kuuruka ule ni mpira ni kuingilia mchezo.

Mwanamaji
Kuruka kwa Kagere so kuingilia mchezo kuruka kwake hakuuathiri mwenendo wa mpira uliopigwa, na pia Kagere hakuwa amemziba golikipa kama huyu mchambuzi maandazi anavyodai. Nafasi aliyokuwa amesimama golikipa asingeathiriwa na urukaji wa Kagere!
 
Kuruka siyokuingiia mchezo,

Kuruka kwa Kagere so kuingilia mchezo kuruka kwake hakuuathiri mwenendo wa mpira uliopigwa, na pia Kagere hakuwa amemziba golikipa kama huyu mchambuzi maandazi anavyodai. [color=redNafasi aliyokuwa amesimama golikipa asingeathiriwa na urukaji wa Kagere[/color]!

Ule mpira ulipigwa wapi kama sio alipokuwa amesimama Kagere? Asa utasemaje kuwa hajamziba kipa wakati Kagere kasima eneo lile lile uliopigwa mpira.
IMG_20220315_130057.jpg
 
Kuruka siyokuingiia mchezo,

Kuruka kwa Kagere so kuingilia mchezo kuruka kwake hakuuathiri mwenendo wa mpira uliopigwa, na pia Kagere hakuwa amemziba golikipa kama huyu mchambuzi maandazi anavyodai. Nafasi aliyokuwa amesimama golikipa asingeathiriwa na urukaji wa Kagere!
Mtu akiuruka mpira sio anakuwa anampoteza kipa maboya
 
Kwa sheria za offside, ni kwamba mchezaji akiwa katika eneo la kuotea hapaswi kuuingilia mchezo. Ukiangalia ile mechi, kwanza wakati Sakho anaupiga mpira ule Kagere alikuwa katika eneo la kuotea pili ulivyopigwa mpira ule akauruka.

Hivyo kitendo cha kuuruka ule ni mpira ni kuingilia mchezo.

Mwanamaji
Waambie.
 
Ukiwa kwenye offside position kisha uka block the view of goalkeeper ni kosa kwa sheria za FIFA unakuwa unahesabika kama umeuingilia mchezo.

Angalia video hiyo chini kuna tukio ambalo mchezaji hakuugusa kabisa mpira na wala hakushiriki katika mpira kama vile Kagere alivyoshiriki kwa kuuruka. Ila goli lilikataliwa kwa sheria ya offside kwavile mchezaji alisababisha kipa asiweze kuona move ya kpira ( block view of the goalkeeper)






Mwanamaji

SawaSawaa...💯💯💯
 
Kuna mambo mawili tu ya kufanya.
1.kuandamana hadi lkulu kwa mama kupeleka malalamiko . Au
2.kukata rufaa CAS.
Kama hayo hamuyawezi , mkae kimya kuliko kutupanulia madomo kunuka yenu humu jf
Kweli. Wanashangaza sana hawa uto. Ktk hiyo clip hakuna hata mchezaji mmoja wala official wa Berkane aliyelalamikia goli.
 
Hapana.
Hapo mchambuzi amekosea, ametulisha sumu. Mfungaji (Sakho) alipiga mpira iliokwenda kufunga eneo tofauti na alipokuwepo Kegele, sasa Kegele aliingiliaje huo mpira licha ya kuwa off side?

Pili mchambuzi anasema Berkane wana haki ya kulalamika katika hilo, wakati kiuhalisia hilo goli lilipofungwa hakuna mchezaji wala kiongozi yoyote wa Berkane aliyekwenda kulalamika kwa mwamuzi kuachilia walilikubali.
We acha tu. Uchambuzi wenye vinasaba vya kitopolo.
 
Mkuu kwani ili goli liwe goli linatakiwaje? Maamuzi ya mawamuzi ni final, haya mengine hapa ni kujifariji tu hakuna kianchobadilika.
Kwahiyo waamuzi huo hawakoseagi pamoja na kutoa maamuzi? Jf ni platform ya kuhabarishana na kuelimishana. Au kwako unadhani ni platform kama ya vijiwe vya kahawa? Na ndio maana wana slogan inayotumika kuwa home of great thinkers. Ni sehemu ya kujadiliana kwa hoja na kujibu kwa hoja. Asa wewe unakuja na ngonjera za kusema goli halali kisa limekubaliwa na refa kana kwamba marefa huwa hawakoseagi. Haya nimekupa sheria inavyosema na mifano unashindwa kujadili hiyo sheria unaruka ruka tu.
 
Ukiwa kwenye offside position kisha uka block the view of goalkeeper ni kosa kwa sheria za FIFA unakuwa unahesabika kama umeuingilia mchezo.

Angalia video hiyo chini kuna tukio ambalo mchezaji hakuugusa kabisa mpira na wala hakushiriki katika mpira kama vile Kagere alivyoshiriki kwa kuuruka. Ila goli lilikataliwa kwa sheria ya offside kwavile mchezaji alisababisha kipa asiweze kuona move ya kpira ( block view of the goalkeeper)





Mwanamaji

Mkuu hii sheria naifahamu lakini haihusiki chochote na goli la Sackho.
Ni vipi Kagere aliweza kublock view ya goalkeeper wakati mpigaji alikuwa upande tofauti, mpira ulipigwa upande tofauti na golikipa alikuwa upande tofauti na alipokuwepo Kagere?

Ni kweli Kagere aliruka ili kuukwepa mpira ambao alihisi ungemlenga lakini ule mpira haukupita pale alipokuwepo Kagere, sasa ni vipi tuuhusishe na kuruka kwa Kagere?
 
Ukiwa kwenye offside position kisha uka block the view of goalkeeper ni kosa kwa sheria za FIFA unakuwa unahesabika kama umeuingilia mchezo.

Angalia video hiyo chini kuna tukio ambalo mchezaji hakuugusa kabisa mpira na wala hakushiriki katika mpira kama vile Kagere alivyoshiriki kwa kuuruka. Ila goli lilikataliwa kwa sheria ya offside kwavile mchezaji alisababisha kipa asiweze kuona move ya kpira ( block view of the goalkeeper)





Mwanamaji
Kama umakasirika kunya jiwe

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hii sheria naifahamu lakini haihusiki chochote na goli la Sackho.
Ni vipi Kagere aliweza kublock view ya goalkeeper wakati mpigaji alikuwa upande tofauti, mpira ulipigwa upande tofauti na golikipa alikuwa upande tofauti na alipokuwepo Kagere?

[color=red[Ni kweli Kagere aliruka ili kuukwepa mpira ambao alihisi ungemlenga lakini ule mpira haukupita pale alipokuwepo Kagere,[/color] sasa ni vipi tuuhusishe na kuruka kwa Kagere?

Unachokiandika unakielewa kweli? Au unaandika ili mradi uonekane umejibu? Kitu ambacho hakiji uelekeo wako unakikwepa vipi? Ili ukwepe kitu ni lazima kije pale ulipo hivyo kagere ameuruka mpira kwavile umemfuata eneo alilokuwepo.

Kagere ka block vipi view ya goal keeper? Mpigaji kuwa eneo tofauti na Kagere sio tatizo bali tatizo ni Kagere kusababisha goli keeper asione move ya mpira hapo ndipo ame block vision. Angalia hii picha hapo mpira ulipopigwa aliyeukinga ule mpira kwa kipa ni Kagere.
IMG_20220315_130057.jpg
 
Back
Top Bottom