Kuna mambo mawili tu ya kufanya.
Mimba katungwa mwingine , kichefuchefu na kutapika utopolo
Yaani Kagere yuko nyuma ya beki wa Berkane, halafu mpira unapigwa pembeni kabisa, halafu kunakuwa na obstruction! Obstruction gani hiyo?Hujaona kama Kagere kafanya obstruction hapo!??
Kwani unateseka kuambiwa ukweli!??