Halali kivipi kivipi wakati Kagere ameuruka mpira na pia amemziba kipa?Sasa hii inasaidia nini mkuu kutumia nguvu kubwa kulijadili goli halali linalo wafanya simba kufikisha point 7 na kuongoza kundi D
Au ndio wamorocco mnaandaa vielelezo na ushahidi kuelekea FIFA.
Umeeleza kwa usahihi kabisa mkuu.Kwa sheria za offside, ni kwamba mchezaji akiwa katika eneo la kuotea hapaswi kuuingilia mchezo. Ukiangalia ile mechi, kwanza wakati Sakho anaupiga mpira ule Kagere alikuwa katika eneo la kuotea pili ulivyopigwa mpira ule akauruka.
Hivyo kitendo cha kuuruka ule ni mpira ni kuingilia mchezo.
Mwanamaji
Hii iko very clear.
Wewe ni shabiki wa Simba ambaye unaongelea uhalisia badala ya mahaba ya kiushabiki.Hii iko very clear.
Ambaye hataki kuelewa anakua hataki tu.
Sawa kwako kwa kuwa wewe ni kanjanja linapokuja suala la sheria za soka!! Kwa watalaamu walioaminiwa na kupewa beji ya urefarii na FIFA Hilo ni goli lisilo na ubishi!Goli la berkane kwangu mimi halikuwa offside.
Kuruka kwa Kagere so kuingilia mchezo kuruka kwake hakuuathiri mwenendo wa mpira uliopigwa, na pia Kagere hakuwa amemziba golikipa kama huyu mchambuzi maandazi anavyodai. Nafasi aliyokuwa amesimama golikipa asingeathiriwa na urukaji wa Kagere!Kwa sheria za offside, ni kwamba mchezaji akiwa katika eneo la kuotea hapaswi kuuingilia mchezo. Ukiangalia ile mechi, kwanza wakati Sakho anaupiga mpira ule Kagere alikuwa katika eneo la kuotea pili ulivyopigwa mpira ule akauruka.
Hivyo kitendo cha kuuruka ule ni mpira ni kuingilia mchezo.
Mwanamaji
Kuruka siyokuingiia mchezo,
Kuruka kwa Kagere so kuingilia mchezo kuruka kwake hakuuathiri mwenendo wa mpira uliopigwa, na pia Kagere hakuwa amemziba golikipa kama huyu mchambuzi maandazi anavyodai. [color=redNafasi aliyokuwa amesimama golikipa asingeathiriwa na urukaji wa Kagere[/color]!
Mtu akiuruka mpira sio anakuwa anampoteza kipa maboyaKuruka siyokuingiia mchezo,
Kuruka kwa Kagere so kuingilia mchezo kuruka kwake hakuuathiri mwenendo wa mpira uliopigwa, na pia Kagere hakuwa amemziba golikipa kama huyu mchambuzi maandazi anavyodai. Nafasi aliyokuwa amesimama golikipa asingeathiriwa na urukaji wa Kagere!
Anayetukana hana hojaUtatukanwa sana. **** watu wana- satisfy sana kwa kutukana. Sijui imlplicatication yake ni nini
Waambie.Kwa sheria za offside, ni kwamba mchezaji akiwa katika eneo la kuotea hapaswi kuuingilia mchezo. Ukiangalia ile mechi, kwanza wakati Sakho anaupiga mpira ule Kagere alikuwa katika eneo la kuotea pili ulivyopigwa mpira ule akauruka.
Hivyo kitendo cha kuuruka ule ni mpira ni kuingilia mchezo.
Mwanamaji
Kwahiyo weee unaakili kuliko refa wa FIFA?.. Yaan Simba angetoa Sare mngeshangilia sana
SawaSawaa...💯💯💯Ukiwa kwenye offside position kisha uka block the view of goalkeeper ni kosa kwa sheria za FIFA unakuwa unahesabika kama umeuingilia mchezo.
Angalia video hiyo chini kuna tukio ambalo mchezaji hakuugusa kabisa mpira na wala hakushiriki katika mpira kama vile Kagere alivyoshiriki kwa kuuruka. Ila goli lilikataliwa kwa sheria ya offside kwavile mchezaji alisababisha kipa asiweze kuona move ya kpira ( block view of the goalkeeper)
Mwanamaji
Kweli. Wanashangaza sana hawa uto. Ktk hiyo clip hakuna hata mchezaji mmoja wala official wa Berkane aliyelalamikia goli.Kuna mambo mawili tu ya kufanya.
1.kuandamana hadi lkulu kwa mama kupeleka malalamiko . Au
2.kukata rufaa CAS.
Kama hayo hamuyawezi , mkae kimya kuliko kutupanulia madomo kunuka yenu humu jf
We acha tu. Uchambuzi wenye vinasaba vya kitopolo.Hapana.
Hapo mchambuzi amekosea, ametulisha sumu. Mfungaji (Sakho) alipiga mpira iliokwenda kufunga eneo tofauti na alipokuwepo Kegele, sasa Kegele aliingiliaje huo mpira licha ya kuwa off side?
Pili mchambuzi anasema Berkane wana haki ya kulalamika katika hilo, wakati kiuhalisia hilo goli lilipofungwa hakuna mchezaji wala kiongozi yoyote wa Berkane aliyekwenda kulalamika kwa mwamuzi kuachilia walilikubali.
Kwahiyo waamuzi huo hawakoseagi pamoja na kutoa maamuzi? Jf ni platform ya kuhabarishana na kuelimishana. Au kwako unadhani ni platform kama ya vijiwe vya kahawa? Na ndio maana wana slogan inayotumika kuwa home of great thinkers. Ni sehemu ya kujadiliana kwa hoja na kujibu kwa hoja. Asa wewe unakuja na ngonjera za kusema goli halali kisa limekubaliwa na refa kana kwamba marefa huwa hawakoseagi. Haya nimekupa sheria inavyosema na mifano unashindwa kujadili hiyo sheria unaruka ruka tu.
Mkuu hii sheria naifahamu lakini haihusiki chochote na goli la Sackho.Ukiwa kwenye offside position kisha uka block the view of goalkeeper ni kosa kwa sheria za FIFA unakuwa unahesabika kama umeuingilia mchezo.
Angalia video hiyo chini kuna tukio ambalo mchezaji hakuugusa kabisa mpira na wala hakushiriki katika mpira kama vile Kagere alivyoshiriki kwa kuuruka. Ila goli lilikataliwa kwa sheria ya offside kwavile mchezaji alisababisha kipa asiweze kuona move ya kpira ( block view of the goalkeeper)
Mwanamaji
Kama umakasirika kunya jiweUkiwa kwenye offside position kisha uka block the view of goalkeeper ni kosa kwa sheria za FIFA unakuwa unahesabika kama umeuingilia mchezo.
Angalia video hiyo chini kuna tukio ambalo mchezaji hakuugusa kabisa mpira na wala hakushiriki katika mpira kama vile Kagere alivyoshiriki kwa kuuruka. Ila goli lilikataliwa kwa sheria ya offside kwavile mchezaji alisababisha kipa asiweze kuona move ya kpira ( block view of the goalkeeper)
Mwanamaji
Mkuu hii sheria naifahamu lakini haihusiki chochote na goli la Sackho.
Ni vipi Kagere aliweza kublock view ya goalkeeper wakati mpigaji alikuwa upande tofauti, mpira ulipigwa upande tofauti na golikipa alikuwa upande tofauti na alipokuwepo Kagere?
[color=red[Ni kweli Kagere aliruka ili kuukwepa mpira ambao alihisi ungemlenga lakini ule mpira haukupita pale alipokuwepo Kagere,[/color] sasa ni vipi tuuhusishe na kuruka kwa Kagere?