Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
Madaktar hawana cha kufanya katika Taifa lenye facilities mbovu, hata wangekuwepo, wangeokoa tuu ambao uhai wao ulikuwa na uwezo wa kustahimili masaa walau 12. Hakuna vifaa. Daktar afanye nini
hoja yako ya nguvu,ogopa kundi la wajinga
 
Huyo kiongozi anaficha mapungufu yake. Labda hakuwa na timu ya uokozi wakati wa maafa eneo lake anajificha nyuma ya madaktari.

Madaktari eneo la tukio hawana umuhimu sana labda angesema wagonjwa walienda hospitali na hawakukuta madaktari eneo la casuality/emergency.
 
hojia yako nzeli sana na inatia simanzi sana mkuu ogopa sana undi la wana siasa wanaoteemea sifa kutoka kwa wajinga
 
Madaktari walihitajika sehemu ya tukio au hospitali? Kama wagonjwa walifikishwa hospitali toka saa 4 usiku na madaktari wakaenda saa 11 alfajiri, wanastahili adhabu.

Ila kama ni eneo la tukio tu, sioni kosa... Japo wangekuwepo kuna miongozo wangeweza kuitoa, elimu ambayo wengine hawana.
 
Umeharibu bandiko lako kwa kumtaja Jiwe
 
Bongo siasa kila upande
 
Nmeona hii habari pia ila maamuzi ya mkuu wa wilaya sio sahihi
tatizo la wateule wa raisi uwezo wao wa kuzia maafa ni mdogo sana kabla ayajatokea mfano hao wakuu wa wilaya kila siku wanawapita mafarfki wakiomba na kupokea rushwa wakiwaona na polisi kubambikizia watu kesi tena mbela ya macho yao leo imetokea hajari anajitia kulalama hovio
 
Yaani Madaktari waende eneo la tukio? Au ulitaka kusema fire na Polisi?
wakuu wa wilaya mkoa mawaziri polisi hawana uwezo wa kuzia hajari kabula haija tokea wao usubili itokee wauze sura kwenye tv kwa kutoa matmko ya hovio
 
Madaktar hawana cha kufanya katika Taifa lenye facilities mbovu, hata wangekuwepo, wangeokoa tuu ambao uhai wao ulikuwa na uwezo wa kustahimili masaa walau 12. Hakuna vifaa. Daktar afanye nini
Wameamua kuwaangushia jumba bovu.
 
Uzembe sio hao wa madtari uzembe nikutokuw na madtari ambao wanAtosha kuzunguk kwenye shift

Kama hao wa madtari wangekuw na shift ya usiku wangekuja on time / wakuwepo hospital hapo.
 
Hakika,
Uzembe sio hao wa madtari uzembe nikutokuw na madtari ambao wanAtosha kuzunguk kwenye shift

Kama hao wa madtari wangekuw na shift ya usiku wangekuja on time / wakuwepo hospital hapo.
 
Inapigwa siasa tu hapo media zaidi. Na ile issue ya bidhaa za magendo za wapemba nayo ilipamba media.
 

kajitie kidole unuse jinsi unavyonuka upumbavu.

Unafananisha kazi za wito na hiyo biashara yako ya kuuza mwili!!!!
 
Aliyetoa hoja hapa JF kuwa "ni kwa nini bara la Afrika haliendelei" hilo ni baadhi ya majibu yake.
 
S#£h#t hole country

Kila mtu ni s#£t%h

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…