Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Ajali Korogwe: Madaktari walipigiwa simu saa nne usiku wakafika saa kumi na moja

Hivi kwani Zimamoto kama jeshi la uokoaji kazi yao ni ipi.?..Nafikiri sasa Tuamke Tuanzishe vitengo kama Paramedic kwenye Jeshi letu ili tuepuke kusingizia watu mambo yasiyowahusu.

Kwa maana sioni haja ya Kumlaumu DMO kutofika eneo la tukio kwani Miongozo yake haimruhusu kutuma kikosi cha mdaktari kutibia nje ya Hospitali.. hii sasa inayofanywa ni siasa baada ya kuona Mapungufu na wananchi kulalamika
 
Hivi kwani Zimamoto kama jeshi la uokoaji kazi yao ni ipi.?..Nafikiri sasa Tuamke Tuanzishe vitengo kama Paramedic kwenye Jeshi letu ili tuepuke kusingizia watu mambo yasiyowahusu.Kwa maana sioni haja ya Kumlaumu DMO kutofika eneo la tukio kwani Miongozo yake haimruhusu kutuma kikosi cha mdaktari kutibia nje ya Hospitali.. hii sasa inayofanywa ni siasa baada ya kuona Mapungufu na wananchi kulalamika
Zimamoto wanaweza kutibu mgonjwa mahututi?
 
Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.

Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Stokuelewa hata siku moja, nadhani wewe ni roboti na siyo binadamu
 
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:

Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi wa lijitokeza wakati wa ajari mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.

Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi zazi hasa walipelekwa usiku hospitalini.

"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"

USSR
Kuwa na shukurani mkuuu hyo ajali inahusishwa naambo mengi mno
 
Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.

Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Kwanza saa nne ni muda wa kulala
 
Zimamoto wanaweza kutibu mgonjwa mahututi?
Umesoma nilichoandika mkuu?,Umekielewa? au umesoma ili unijibu?...

Ok..ngoja nikuweke sawa nimetoa suggestion ya kuanzishwa kwa Idara ya Paramedic katika Idara ya Jeshi la zimamoto na uokoaji kama ilivyo kwa wenzetu cha ajabu jeshi letu kama lilivyoitwa ZIMAMOTO wao wanaona linadeal na kuzima moto peke yake na ndo maana Hata katika uokoaji tuko poor Nikukumbushe kuhusu Ajali ya Precision Air kama tungekuwa na kitengo ca paramedic tusingepata idadi ile ya vifo...

(Paramedics ni kitengo kinachodeal na kumuona Mgonjwa na kumstage kulingana na ugonjwa wake na jinsi anavyotakiwa attantion ya Daktari....

Ina maelezo marefu ila Ni kuwa anafanya kazi ya kuokoa na kusaidia kazi ya huduma ya kwanza kabla ya kupeleka kwa daktari na kitengo hicho kwa wenzetu kinafanya kazi na wanaajiliwa jeshini ni madaktari au paramedical personel na wakisikia majanga mara moja huondika na Jeshinkwenda kuokoa na kutoa ushauri na ndio atatoa maelezo kwa daktari kulingana alivyowa stage wagonjwa either wa ajali au wa majanga mengine
 
Umesoma nilichoandika mkuu?,Umekielewa? au umesoma ili unijibu?...
Ok..ngoja nikuweke sawa nimetoa suggestion ya kuanzishwa kwa Idara ya Paramedic katika Idara ya Jeshi la zimamoto na uokoaji kama ilivyo kwa wenzetu cha ajabu jeshi letu kama lilivyoitwa ZIMAMOTO wao wanaona linadeal na kuzima moto peke yake na ndo maana Hata katika uokoaji tuko poor Nikukumbushe kuhusu Ajali ya Precision Air kama tungekuwa na kitengo ca paramedic tusingepata idadi ile ya vifo...
(Paramedics ni kitengo kinachodeal na kumuona Mgonjwa na kumstage kulingana na ugonjwa wake na jinsi anavyotakiwa attantion ya Daktari....Ina maelezo marefu ila Ni kuwa anafanya kazi ya kuokoa na kusaidia kazi ya huduma ya kwanza kabla ya kupeleka kwa daktari na kitengo hicho kwa wenzetu kinafanya kazi na wanaajiliwa jeshini ni madaktari au paramedical personel na wakisikia majanga mara moja huondika na Jeshinkwenda kuokoa na kutoa ushauri na ndio atatoa maelezo kwa daktari kulingana alivyowastage wagonjwa either wa ajali au wa majanga mengine
Suggestions nzuri mkuu Ila naona
Itafanyiwa kazi baada ya miaka 1000 au 2000 ijayo,
 
Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.

Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
We jamaa jina la magufuli limekuumiza sana... punguza hasira
 
Mkuu,

Madaktari hawahusiki kufika eneo la tukio, kikosi cha uokozi na zimamoto ndio kazi yao, kazi ya DMO na timu yake ni kuweka sawa mazingira ya kupokea wagonjwa emergency na casuality unit, kufanya triage, kuandaa vyumba vya upasuaji wa dharura, kuandaa dawa, madaktari n.k

Wamewaonea tu, daktari aende huko kufanya nini? Atatundika damu au NS kwenye nini? Anavifaa vya kuvunja nondo, ana vifaa vya kuinulia gani iliyopinduka?

Miongozo ya tiba haipo hivyo. Kama wangetelekeza wagonjwa waliofikishwa hospitalini ingekuwa msala wao, hapo mkuu wa mkoa anafanya siasa tu.
Bavicha mbona mna ututusa mwingi

Umeambiwa madaktari hawakuwepo hospital ingawa walipigiwa Simu kwamba kuna wahanga wa ajali wanaletwa

Hai madaktari Wanaishi Kwenye kota za hospital hapo hapo

Ilibidi DC ambaye siyo Daktari kitaaluma atoe referral kwa wale wenye hali Mbaya

Acheni ujinga!
 
Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:

Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi wa lijitokeza wakati wa ajari mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.

Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi zazi hasa walipelekwa usiku hospitalini.

"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"

USSR
Angekua.. angekua! Pesa za rambirambi mpaka leo wahanga wanalalmika!!
 
Back
Top Bottom