Mzee wa fact
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 246
- 228
Taarifa inasema hospital walifika saa 11 hospital alafu ishu kubwa ni kumdharau DCTatizo kila kitu kinachanganywa na siasa
Ata angekuwepo ni jambo ambalo lingeweza kutokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa inasema hospital walifika saa 11 hospital alafu ishu kubwa ni kumdharau DCTatizo kila kitu kinachanganywa na siasa
Ata angekuwepo ni jambo ambalo lingeweza kutokea
Na haiwezekani ipigiwe simu na mkuu wilaya upwelling maagizo alafu ufanye utakavyoBavicha mbona mna ututusa mwingi
Umeambiwa madaktari hawakuwepo hospital ingawa walipigiwa Simu kwamba kuna wahanga wa ajali wanaletwa
Hai madaktari Wanaishi Kwenye kota za hospital hapo hapo
Ilibidi DC ambaye siyo Daktari kitaaluma atoe referral kwa wale wenye hali Mbaya
Acheni ujinga!
Bavicha mbona mna ututusa mwingi
Umeambiwa madaktari hawakuwepo hospital ingawa walipigiwa Simu kwamba kuna wahanga wa ajali wanaletwa
Hai madaktari Wanaishi Kwenye kota za hospital hapo hapo
Ilibidi DC ambaye siyo Daktari kitaaluma atoe referral kwa wale wenye hali Mbaya
Acheni ujinga!
Wewe fikiria Kaimu mkuu wa Wilaya ametoka Lushoto na amewahi zoezi la uokozi anafika hospital madaktari hawapoNa haiwezekani ipigiwe simu na mkuu wilaya upwelling maagizo alafu ufanye utakavyo
Hili siyo Swala la kuleta siasa za kipumbavu!Kwahiyo anaposema ingekua flan usingekua ivo, kwamba utawala huu ndio umesababisha hayo? Mbona fuba la rambirambi kule KGR lilitiwa mfukoni hamkulalamika?
Kwa mantiki hiyo ikitokea ajari, watu wasiende kutua msaada kwa sababu ni muda wa kulala.kwanza saa nne ni muda wa kulala
Acha ujinga wee mzee, kwahiyo unaona ni sahihi kusema awamu ya tano isingetokea hilo? Kwamba awamu hii hawana uwezo ama? Msituletee uzalendo uchwara!! Shubaamit.Hili siyo Swala la kuleta siasa za kipumbavu!
We Ni mjinga ukielimishwa utaelimika uhai wa mtu atakufa ataishi Mungu ndie anayejua! Jiografia ya korogwe unaijua? Hospitali ya wilaya ilipo na eneo la ajali? Wajua waliojitokeza eneo la tukio walikua na kazi ya kuiba kuliko kutoa Msaada na waliokufa on the spot Ni almost 17!Acha uboya uzi wa ile ajari upo kaulize kule huu uzembe unapaswa kukemewa
USSR
InawezekanaNa haiwezekani ipigiwe simu na mkuu wilaya upwelling maagizo alafu ufanye utakavyo
Na kuna wagonjwa walihitaji referral muda ule mtoa referral hayupo ilibidi dc asaini referral na kulihitajika vitu vingi vitatuliwe kiutawalaWewe fikiria Kaimu mkuu wa Wilaya ametoka Lushoto na amewahi zoezi la uokozi anafika hospital madaktari hawapo
Sasa mkuu ubavicha umetoka wapi hapo? Kwamba wewe ni mwerevu sana mimi ni mjinga? Fine!Bavicha mbona mna ututusa mwingi
Umeambiwa madaktari hawakuwepo hospital ingawa walipigiwa Simu kwamba kuna wahanga wa ajali wanaletwa
Hai madaktari Wanaishi Kwenye kota za hospital hapo hapo
Ilibidi DC ambaye siyo Daktari kitaaluma atoe referral kwa wale wenye hali Mbaya
Acheni ujinga!
Kilichofuata ndio hicho sasa na hao kesi yao ni kudharau maagizo ya viongoziInawezekana
Kwani hakuna madaktari wa zamu hiyo hospitali?Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.
Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Na ndio ilivyo kwenye hili RC yupo sahihiSijui ni mimi ndio nimeielewa hii habari vibaya au kuna watu wana matatizo ya akili
Nahisi nimemsikia RC anadai Doctors waliitwa Hospital sio eneo la accident
Hili taifa uzembe ni jadi yetu kila sekta, sioni kwanini hao madaktari wasilaumiwe, kuokoa roho za watu hakuwezi kusubiri muda wa kazi hata mara moja.Wewe na hao wananchi wenye hasira ni vilaza, hamna akili na hamjui wajibu wa madaktari kabisa.
Yaani kusema ukweli, kwa wale waliowahi kuishi nje kidogo, madaktari wa kibongo wanaboa sana. wana kiburi, wapenda rushwa na vinajifanya vitaalaamuuuu wakati kutibu haviwezi.Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi wa lijitokeza wakati wa ajari mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi zazi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR
Hili taifa uzembe ni jadi yetu kila sekta, sioni kwanini hao madaktari wasilaumiwe, kuokoa roho za watu hakuwezi kusubiri muda wa kazi hata mara moja.
Sielewi kwamba walipigiwa simu wakatibu eneo la tukio au?Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi wa lijitokeza wakati wa ajari mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi zazi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR