Wewe mpumbavu nenda QT ukasome japo kuandika Kiswahili. Hakuna neno 'Umeajiliwa' kwenye Kiswahili.Umeajiliwa wapi au upo unampikia mmeo mtori
USSR
Mimi ni poyoyo, ila nakuhakikishia kazi ya Madaktari siyo kwenda kwenye scene ya accident Bali ni kuwasubiri majeruhi hospitali na kufanya emergency procedure. Daktari aakienda kwenye scene ya ajali atakuwa mtazamaji tu kama raia mwingine.Dah! We ni POYOYO org.
Tatizo lenu mumemgeuza magufuli ni kama mungu wenu, maana hata mvua zisiponyesha mnasema angekuwapo Magufuli?Stokuelewa hata siku moja, nadhani wewe ni roboti na siyo binadamu
Na Daktari hao hawakupigiwa simu ili waende eneo la Tukio.Mimi ni poyoyo, ila nakuhakikishia kazi ya Madaktari siyo kwenda kwenye scene ya accident Bali ni kuwasubiri majeruhi hospitali na kufanya emergency procedure. Daktari aakienda kwenye scene ya ajali atakuwa mtazamaji tu kama raia mwingine.
Ili unielewe inabidi uwe na akili, ila sidhani kama damper unazo
Jina la Magufuli lietengeneza wajinga na misukule mingi. Tusipowakemea tunatengeneza Taifa la wajinga. Kuna akina Prof Kabudi, Aggrey Mwanri, Sheikh Alhad wa Bakwata waliwahi kusema Magufuli ni kama Mungu au ni maarufu kuliko Yesu na Muhammad!!We jamaa jina la magufuli limekuumiza sana... punguza hasira
Ukisikia jina lake ushuzi unakutokaJina la Magufuli lietengeneza wajinga na misukule mingi. Tusipowakemea tunatengeneza Taifa la wajinga. Kuna akina Prof Kabudi, Aggrey Mwanri, Sheikh Alhad wa Bakwata waliwahi kusema Magufuli ni kama Mungu au ni maarufu kuliko Yesu na Muhammad!!
Wakati Mimi najuwa Magufuli alikuwa muuaji tu, katili asiyetumia akili, kila wakati anapanda kichaa, mwizi, mwongo na kimsingi ni TAKATAKA tu
Daktari kwenye Job Description yake Hana activity ya kufanya kwenye accident scene. Yaani hata ungewapeleka pale mabingwa wote wa MUHIMBILI wangekuwa watazamaji tu.Kwani hakuna madaktari wa zamu hiyo hospitali?
Hata kama walikuwa hawatoshi, kwani wakipigiwa simu kwa dharura kusaidia uokozi na huduma ya kwanza kuna ubaya gani?
Kama walikuwa wameshalewa ijulikane, lakini sio kuwatetea kizembe.
Inategemea na aina ya emergencyHivi ndugu umelewa? Hujui kama madaktari wana zamu hadi ya usiku, wanapokezana mahospitali
Ulivyo kiazi wewe binti hata kusoma husomi nani kakwambia waliitwa kwenye eneo la ajali? Waliitwa hospitalini na wanakaa kota za hospitali acha uboya binti wewe itakosa mmeMimi ni poyoyo, ila nakuhakikishia kazi ya Madaktari siyo kwenda kwenye scene ya accident Bali ni kuwasubiri majeruhi hospitali na kufanya emergency procedure. Daktari aakienda kwenye scene ya ajali atakuwa mtazamaji tu kama raia mwingine.
Ili unielewe inabidi uwe na akili, ila sidhani kama damper unazo
Wameapa kuokoa? So mpaka tatizo liwe ndani ya uwezo wa hospitaliHuna akili wewe kenge!! Wala hujui kuwa hao ni madaktari walioapa kuokoa maisha ya watu. Na hata wala hujui kitu kinaitwa "On call allowance". Kenge
DMO ni administrator tu Wala hakai zamu, na wengi wanakuwa outreach supervisionUnafahamu daktari akiwa zamu, anakuwa zamu siku nzima(24hrs).
Na hao madaktari walioitwa ni Viongozi yaani DMO na Incharge wa hospitali ya wilaya.
Yaani hospitalini kwako umeletewa majeruhi wa ajari kubwa hiyo.
Incharge wa hospitali usionekane eti masaa ya kazi.!!!!
Upo sahihi kabisa,watu wengi wamekurupuka tu ku comment bila hata kuielewa hii habari.Sijui ni mimi ndio nimeielewa hii habari vibaya au kuna watu wana matatizo ya akili
Nahisi nimemsikia RC anadai Doctors waliitwa Hospital sio eneo la accident
akijibu nistueVIPI NA WALE WA AJALI YA PRECISION mbona nao Walichelewa kwanini hawakusimamishwa?
Okay tutaona Kama RC Ana Moral Authority ya kwamjibisha MDAcha ubibi watu wametolewa eneo la tukio hadi hospitali eti kunalijamaa lipo limelala tu na ushuzi juu
USSR
Hao kama ni kweli walisema hivo ni ujinga mkubwa sana waliuzungumza...na wewe pia unamzungumza JPM kichuki sana hadi unaonekana na wewe ni wa ovyo tu, ukijihisi unaona yule jamaa hajafanya jema hata moja utakuwa una matatizo kwenye huo ubongo...Jina la Magufuli lietengeneza wajinga na misukule mingi. Tusipowakemea tunatengeneza Taifa la wajinga. Kuna akina Prof Kabudi, Aggrey Mwanri, Sheikh Alhad wa Bakwata waliwahi kusema Magufuli ni kama Mungu au ni maarufu kuliko Yesu na Muhammad!!
Wakati Mimi najuwa Magufuli alikuwa muuaji tu, katili asiyetumia akili, kila wakati anapanda kichaa, mwizi, mwongo na kimsingi ni TAKATAKA tu
Harafu mjinga mmja anamlaumu RCAngekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi walijitokeza wakati wa ajali mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Baadhi ya madaktari waliopigiwa simu wanaishi jirani na hospitalini kwa kuwa waziri wa afya ni mtu wa Tanga na yupo Tanga ni vema atolee maelezo haraka maana wananchi wanajazba sana juu ya hili.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR
Usinipangie cha kuandika. Magufuli alipanda chuki na anavuna chuki.Hao kama ni kweli walisema hivo ni ujinga mkubwa sana waliuzungumza...na wewe pia unamzungumza JPM kichuki sana hadi unaonekana na wewe ni wa ovyo tu, ukijihisi unaona yule jamaa hajafanya jema hata moja utakuwa una matatizo kwenye huo ubongo...
Ila umekula za uso mpaka umelegea kama kuku kishingo , waeleze madaktari wenzako kuwa jamii inajua upuuzi waoUsinipangie cha kuandika. Magufuli alipanda chuki na anavuna chuki.
Wewe mwenye unataka kuandika aliyofanya Dikteta nawe andika kwa wakati wako