MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,788
- 3,126
Umeona eeh? Fresh haswaaa! ingawaje "obituary" - thread inaonyesha kuwa dogo alikuwa mwingi wa habariOoh, very fresh meat......RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh? Fresh haswaaa! ingawaje "obituary" - thread inaonyesha kuwa dogo alikuwa mwingi wa habariOoh, very fresh meat......RIP
Hahahahaha now you are talking.Hapana mkuu c unajua sie kila anaeingia chooni aenda kunya mwingine anahesabu hela teh teh teh
Madogo wa siku hizi hawajielewi wanapenda Maisha yakufikirika Unakaa MTU anakununulia mipombe wala hujui hela anapata wapi hiki kizazi fuul majanga....Ila naamini malezi yanachangia sana huu ujingaKaka enzi zetu watoto wote wa kishua tulikuwa tunajua wana Soma wapi ila hivi sasa ni vulugu mechi pia tulikuwa tuna Jua wana ishi wapi lakini hii Leo waziri anaishiii Kimara bonyokwa,Chanika ,Kongowe ,Kwa mtogole.kwa mujibu wa hawa wauza sura hapa nilipo ni kuwa msiba uko kinondoni pia ukiwa uliza marehemu alikuwa Ana jishughulisha na niniii hakuna jibu la maana.
Afu mimi na wewe bado hatujamalizana. Unataka na mimi nikalenge nguzo ya umeme ndo unikumbuke?Umeona eeh? Fresh haswaaa! ingawaje "obituary" - thread inaonyesha kuwa dogo alikuwa mwingi wa habari
Mkuu nimegundua nami nahitaji kwenda mitaa hyo labda ntadakamo wa dizaini hzo nshachoka wale wa kwetu kulec uliwaona, vipi hapo rhapsody wanauza viroba au nije nacho cha kwangu kabisaHahahahaha now you are talking.
Wengine ni maviziaji kama fisi. Yanaenda pale yanakunywa chupa ya maji kwa masaa nane kumendea visista duu vinavyolewa na kukimbiwa na mabasha zao....
Sehemu wanauza bia buku 5 unategemea watauza viroba? We kamata kiroba chako kitie kwenye chupa ya maji ingia zako chimbo.Mkuu nimegundua nami nahitaji kwenda mitaa hyo labda ntadakamo wa dizaini hzo nshachoka wale wa kwetu kulec uliwaona, vipi hapo rhapsody wanauza viroba au nije nacho cha kwangu kabisa
Imeniuma sana japo umeuliza swali ila mimi namlilia huyu binti wa watu sasa hivi kawa single tena daahMkuu mi sijakataa kama alikuwa kalewa au la. Swali langu kwa huyo bingwa lilikuwa rahisi tu... Je ni wote wanaokuwa Raphsody wanakunywa pombe???
Kaka ila mesiya alitengeneza Divai, haya mambo tuuaache tu mzee wangu. Unaweza ukalazwa hospitalini Siku yako ya kukata roho Nesi akapita upaja wazi ukamtamani, hapo napo vipi?Sehemu wanauza bia buku 5 unategemea watauza viroba? We kamata kiroba chako kitie kwenye chupa ya maji ingia zako chimbo.
Ila kuwa makini sana usije na wewe ukalenga nguzo za umeme. Ukifa ukiwa unatokea pale ni nadra sana kupokelewa kwa Mungu
Kwani dogo alikuwa kashaoa? Kama kabaki mjane wala asijali... kuna wanaume kibao wanafuata maagizo ya Yesu ya kuwatunza wajane....View attachment 320588
Imeniuma sana japo umeuliza swali ila mimi namlilia huyu binti wa watu sasa hivi kawa single tena daah
Ha ha mzee unaza kihesabu hela, hapo lazima ulikuwa unatoa ofa za kufa mtu sasa unapima umbali sio? Safi sana ha ha haHapana mkuu c unajua sie kila anaeingia chooni aenda kunya mwingine anahesabu hela teh teh teh
Ikitokea hivyo sitakubali kufa. Naibuka naruka kichura then naongea vizuri na nesi. Ni hatari sana kufa mbele ya papuchiKaka ila mesiya alitengeneza Divai, haya mambo tuuaache tu mzee wangu. Unaweza ukalazwa hospitalini Siku yako ya kukata roho Nesi akapita upaja wazi ukamtamani, hapo napo vipi?
Mkuu hata kule kwetu ukioa mjane unaongezewa thawabu bana so asihofu tumoKwani dogo alikuwa kashaoa? Kama kabaki mjane wala asijali... kuna wanaume kibao wanafuata maagizo ya Yesu ya kuwatunza wajane....
Ewaaa changamkia fursa upate thawabuMkuu hata kule kwetu ukioa mjane unaongezewa thawabu bana so asihofu tumo
SAUT hakuna disco....Sema ulifeli kwasababu ya ukilaza wako,hakuna chuo kisicho na Disco.
Alikuwa Producer wa mziki? Mbongo Flavor? Promoter? Au Mfanyabiashara Design ya Kina Kinje,Abdul Zeze,Kanyau,Rumishael? Nini kilichomfanya ajulikane na kina masogange,kadinda,wolper,Young D?
Tobaaa! Jamani Shemeji!! Uuuwi, kumbe ulikataa nisikuite shemeji? Sasa mie familia si itanitenga jamani? Hao wadogo zangu watanielewa kweli?Afu mimi na wewe bado hatujamalizana. Unataka na mimi nikalenge nguzo ya umeme ndo unikumbuke?
Wadogo zako wanahusiana nini na biashara yetu?Tobaaa! Jamani Shemeji!! Uuuwi, kumbe ulikataa nisikuite shemeji? Sasa mie familia si itanitenga jamani? Hao wadogo zangu watanielewa kweli?
Nilikuwa namaaunisha marehemu hakumaliza pale IJA sasa yy kwa kutaka kick kaja na hizo shombo ndo maana nimempotezeaSAUT hakuna disco....
Mmmmh! Hao vidosho woote uliowapanga humu jamvini kama Mfalme Mswati ntawezana nao kweli? Mie moyo wangu hauhimili vishindo😳Wadogo zako wanahusiana nini na biashara yetu?
Hakuwa msanii....alikuwa karibu na wasanii km akina Young Dee na Jux so imemfanya kukutana na wasanii wengi wa bongo hivyo akawa maarufuAlikuwa Producer wa mziki? Mbongo Flavor? Promoter? Au Mfanyabiashara Design ya Kina Kinje,Abdul Zeze,Kanyau,Rumishael? Nini kilichomfanya ajulikane na akina masogange,kadinda,wolper,Young D?