Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,622
Ni nani.......?......
kavishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nani.......?......
Kumbe we mbulumundu kama sio ndezi. Unaweza nionesha shombo hapo?Nilikuwa namaaunisha marehemu hakumaliza pale IJA sasa yy kwa kutaka kick kaja na hizo shombo ndo maana nimempotezea
.....Kumbe we mbulumundu kama sio ndezi. Unaweza nionesha shombo hapo?
Sasa hebu kuwa muwazi.... tatizo ni vidosho au tatizo hujanipenda?Mmmmh! Hao vidosho woote uliowapanga humu jamvini kama Mfalme Mswati ntawezana nao kweli? Mie moyo wangu hauhimili vishindo😳
Kusema ukweli hilo la vidosho linatia woga. Kupenda, ni mapema sana ku-conclude sijakupenda. Ila inavyoelekea wewe unapendeka kirahisi 😉Sasa hebu kuwa muwazi.... tatizo ni vidosho au tatizo hujanipenda?
Hebu jaribu kunipenda uone kama utakuja kujuta. Hilo la vidosho isiwe sababu bhana.... utani tu. Wewe ndo chaguo langu.Kusema ukweli hilo la vidosho linatia woga. Kupenda, ni mapema sana ku-conclude sijakupenda. Ila inavyoelekea wewe unapendeka kirahisi 😉
Jamani unajua kungangania wewe? Lol! Ngoja kwanza nirudie ule uzi wako wa "hepi besdei" nijikumbushe majina ya vidosho wako, maana naingia himaya la watu ati lazima nijue wenyeji wangu ni wa kina nani😉Hebu jaribu kunipenda uone kama utakuja kujuta. Hilo la vidosho isiwe sababu bhana.... utani tu. Wewe ndo chaguo langu.
Hebu twende PM tukaongee kiutu uzima basi.
Sasa ntaachaje kung'ang'ania chaguo langu. Ntapambana mpaka mwisho wa tone la damu.Jamani unajua kungangania wewe? Lol! Ngoja kwanza nirudie ule uzi wako wa "hepi besdei" nijikumbushe majina ya vidosho wako, maana naingia himaya la watu ati lazima nijue wenyeji wangu ni wa kina nani😉
Ni celebrityNdio nani huyo, maana bongo sikuhizi kila mtu ni celebrity.
RIP
Yaani hii ni ile tunasema "leo ninalo", haya nakuja nisubirie huko PM, maana na thread tumebaki wenyewe tu😛Sasa ntaachaje kung'ang'ania chaguo langu. Ntapambana mpaka mwisho wa tone la damu.
Wewe umeumbwa kwa ajili yangu siwezi kujiruhusu kukupoteza hivihivi.
Bado niko PM nakusubiri
Hapo ni Palm Beach Mkuu! na kuna report zinasema ajali ilikuwa Palm BEachWadau Hapa ni Eneo la wapi ilipotokea ajali? Ubalozi wa Kenya Upo wapi?
View attachment 320623
Mbele ya ubalozi wa ufaransa kama unaelekea moroko hilo eneo ni kabla hujakatiza kwenda leaders club ukitokea mjiniWadau Hapa ni Eneo la wapi ilipotokea ajali? Ubalozi wa Kenya Upo wapi?
View attachment 320623
Angalia tena vizuri besti: Hapo ni ukitokea sea view ndio unaface hilo bango la matangazo na hizo nyumba, kushoto ni kuelekea mjini na kulia ni kuelekea Salendar ambapo unaona kile kibanda cha polisiMbele ya ubalozi wa ufaransa kama unaelekea moroko hilo eneo ni kabla hujakatiza kwenda leaders club ukitokea mjini
Ok asante sikuwa makini na hizo alamaAngalia tena vizuri besti: Hapo ni ukitokea sea view ndio unaface hilo bango la matangazo na hizo nyumba, kushoto ni kuelekea mjini na kulia ni kuelekea Salendar ambapo unaona kile kibanda cha polisi
Mara nyingi vijana hupenda kujifunza starehe mpya. labda wanataka wajue raha ya kufa ukiwa umelewa!Hawa watoto wadogo sana bata ziliwazidi...jimmy kwa ajali mbaya nae hivyo hivyo..alikua anatokea kwenye starehe rhapsody alfajiri ..daaaah vijana jaman wanatia huruma...kwan ukinywa kawaida ukarud home mapema na speed normal kuna nn
Bwana gani? Shetwain nin!!Bwana alitoa na bwana ametwaa
Hahaha hahaha...... Marehemu lazima akupe likeMara nyingi vijana hupenda kujifunza starehe mpya. labda wanataka wajue raha ya kufa ukiwa umelewa!
Ok asante sikuwa makini na hizo alama