Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

RIP inatosha tuache upekenyupekenyu wa akina dada! kumbuka kifo chako nawe mja kimeandaliwa na unatembea nacho! Aliyekufa leo sio atakae kufa tena kesho ila ni mie au wewe! Kuweni na hekima!
 
Ile kauli-mbiyu ''Speed 120 kwenye kona shaaaa'' ya Mangwea na Mamba m-slidisha magari, imepukutisha bata-boys wengi sana hapa mjini. Plus kupima Oil au kunyonywa koni wakati upo mwendo bati. Utamu batani !!

R.I.P dogo
 
RIP inatosha tuache upekenyupekenyu wa akina dada! kumbuka kifo chako nawe mja kimeandaliwa na unatembea nacho! Aliyekufa leo sio atakae kufa tena kesho ila ni mie au wewe! Kuweni na hekima!
 
Mungu mwacheni aitwe Mungu yani mtu anaishi stress free mpaka kifo...unatoka kula bhata unapata ajali habari inaishia hapo
Wakati kuna wengine wanaugua na kuumwa sana huku hata hela ya matibabu au lishe vikiwa ni shida mpaka unakufa
Hapo ndo dunia inapojidhirihisha kuwa haiko fair[emoji134] [emoji134]
 
Yaani hii ni ile tunasema "leo ninalo", haya nakuja nisubirie huko PM, maana na thread tumebaki wenyewe tu[emoji14]
Tatizo hujui mimi ni mtoto wa mwanamke mwenzio....
 
Bila shaka huyo ni kati ya wale vijana wanaongoza kwa kula bata ktk kumbi mbali mbali za starehe jijini dar.RIP bata boy kevin kavishe.
 
Mkuu hapo ni Palm beach. Nilipita hapo muda mfupi tu baada ya ajali. Kama unaujua mji vizuri iangalie hiyo picha kwa makini


maeneo ya kutokea Court Yard (Protea) Hotel kuelekea pale kwenye junction mataa eeh?
 
maeneo ya Court Yard (Protea) Hotel kuelekea pale kwenye junction mataa eeh?
Yes unapita court yard mpaka unapokutana na Ali Hassan Mwinyi road. Nguzo ya kwanza baada ya makutano.
 
Kwenye Picha na Video inayosambaa Whatsapp naona kitambaa cheupe kwenye Usukani. Kilikuwa cha nini? au tusubiri Majeruhi aje kutuhabarisha zaidi?
 
Yes unapita court yard mpaka unapokutana na Ali Hassan Mwinyi road. Nguzo ya kwanza baada ya makutano.

Ahaa thanks mkuu. kumbe hapo, ni palm beach kabsa hapo, kuelekea pale mataa ya pili (junction ya kwenda Muhimbili, na kwenda Salender bridge).

Wajuvi wa mji walishaanza kutulisha matango pori humu kuwa eti ajali ili-happen pale kwenye kipande cha kati ya Salender bridge na junction mataa ya kuelekea coco beach.

Wajuvi wengine tena wakaeleza kuwa eti ajali ime-take place pale kwenye kipande cha kati ya junction/Stanbic kuelekea pale Kino makaburi karibia kona ya kwenda leaders.

Basi ilikuwa tafrani humu ndani.

Shukrani mkuu Asprin kwa kutupa info sahihi.
 
Ahaa thanks mkuu. kumbe hapo, ni palm beach kabsa hapo, kuelekea pale mataa ya pili (junction ya kwenda Muhimbili, na kwenda Salender bridge).

Wajuvi wa mji walishaanza kutulisha matango pori humu kuwa eti ajali ili-happen pale kwenye kipande cha kati ya Salender bridge na junction mataa ya kuelekea coco beach.

Wajuvi wengine tena wakaeleza kuwa eti ajali ime-take place pale kwenye kipande cha kati ya junction/Stanbic kuelekea pale Kino makaburi karibia kona ya kwenda leaders.

Basi ilikuwa tafrani humu ndani.

Shukrani mkuu Asprin kwa kutupa info sahihi.
Ewaaa hapohapo mkuu. Mbele yake kidogo kuna kale kakibanda wanakaa matrafiki kwa kazi yao maalum ya kupiga mabao.
 
Kwenye Picha na Video inayosambaa Whatsapp naona kitambaa cheupe kwenye Usukani. Kilikuwa cha nini? au tusubiri Majeruhi aje kutuhabarisha zaidi?


Hiyo inaitwa AIRBAG. Ni fuko fulani ambalo hufumuka na kuwa puto fulani pale ambapo gari ikipata mshindo/hit. Husaidia kuwakinga waliomo kwenye gari wasiumie. Magari mengi ya kisasa wanaweka hizo airbag kwenye kila mbele ya seat. Magari mengine ya bei kali, huwekwa airbag mpaka na ubavuni kwenye milango.

So seat ya dereva, airbag yake huwekwa kwenye usukani hapo juu, na ndo hilo unaloona kama kitambaa cheupe.
 
Mkuu hapo ni Palm beach. Nilipita hapo muda mfupi tu baada ya ajali. Kama unaujua mji vizuri iangalie hiyo picha kwa makini
Asante kaka nimeshahabarishwa sikuwa makini na hizo alama
 
Kaka enzi zetu watoto wote wa kishua tulikuwa tunajua wana Soma wapi ila hivi sasa ni vulugu mechi pia tulikuwa tuna Jua wana ishi wapi lakini hii Leo waziri anaishiii Kimara bonyokwa,Chanika ,Kongowe ,Kwa mtogole.kwa mujibu wa hawa wauza sura hapa nilipo ni kuwa msiba uko kinondoni pia ukiwa uliza marehemu alikuwa Ana jishughulisha na niniii hakuna jibu la maana.
Msiba uko mbezi, tangi bovu
 
Back
Top Bottom