Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

He he he. Usinitafutie kesi jamani pliiiiz. Maana kuna alieniibukia PM, akawaka na kumuita Pimbi, huyu Babu kumbe mtata sana. [emoji14]
Nakuwa mtata kwa ajili yako mrs wangu. Kwakuwa nakupenda, ntakulinda.
 
He he he. Usinitafutie kesi jamani pliiiiz. Maana kuna alieniibukia PM, akawaka na kumuita Pimbi, huyu Babu kumbe mtata sana. 😛


Teh teh teh. Babu mtata huyo balaa. Ndo maana nikasema nimekaa kando 'mguu ndani, mguu nje' nisikilizie kipindi cha pili, najua tu supu ataitia nazi very soon afu mie kilainiiiii nachukua ushindi wa mezani. Mbio za nyikani huwa sio nguvu kiviiiile, akili tu. lol
 
Ndio haya haya tunayo ya sema watu wengi wana kifanya wana mjua sana marehemu hizo ndio taarifa za kizushiii Zinazo sambaaa


hahahahaa mkuu umeongea ukweli sana. Watu kujifanya wana A to Z ya tukio zima tangu jana. Mwisho wa siku wanatulisha matango pori.
 
Madame B bila Shaka ulienda ku sign daftari la waombolezaji kutu wakilisha wana JF .weka Picha hizo tuwa one waombolezaji bila shaka Kama kawa kuna mashindano ya nyusi,mawani na vitu Vya aina hiyoo plus madelaa

plus masimu makubwa mikononi. Pia ni mwendo wa 'Ekotitee' hapo msibani. Wabongo show-biz sana mpk kwenye misiba.
 
samurai /
sema pia siku yake ilifika!
kifo kinapomfika mja kibinadamu hatuiti usembe!/
ni mpango wa mungu!
kwa unaweza hata kukaa ndani ukajifia tu taratibu kwa Ngiri.

Mkuu huu ndio ukweli, africa tuna tatizo lakusema ukweli, mzembe africa haambiwi kama mzembe bali mnasema bahati mbaya, mwisho wa siku vifo vyakipumbavu huendelea kutokea.. kifupi lazima uelewe HAKUNAGA BAHATI MBAYA... tusimsingizie MUNGU kwa ujinga na uzembe wetu, tumepewa akili tuitawale dunia...
huwezi kuita bahati mbaya hiyo, niambie kwa nini ni bahati mbaya??
 
Madame B bila Shaka ulienda ku sign daftari la waombolezaji kutu wakilisha wana JF .weka Picha hizo tuwa one waombolezaji bila shaka Kama kawa kuna mashindano ya nyusi,mawani na vitu Vya aina hiyoo plus madelaa
Usijali.....ngoja nizijaze nitume
 
Mkuu huu ndio ukweli, africa tuna tatizo lakusema ukweli, mzembe africa haambiwi kama mzembe bali mnasema bahati mbaya, mwisho wa siku vifo vyakipumbavu huendelea kutokea.. kifupi lazima uelewe HAKUNAGA BAHATI MBAYA... tusimsingizie MUNGU kwa ujinga na uzembe wetu, tumepewa akili tuitawale dunia...
huwezi kuita bahati mbaya hiyo, niambie kwa nini ni bahati mbaya??


Mkuu umenikumbusha mbali sana kuhusu utetezi wa kijinga wa sisi waafrica, eti ''BAHATI MBAYA, yaani eti bila kupenda wala kupanga''.

Niliwahi kulumbana kwa hoja kwenye mjadala fulani hivi. Nami pia I am always in the same line of thinking kama wewe mkuu, kwamba hakunaga kitu kinachotokea eti kwa BAHATI MBAYA, hakunaga!

Huwa ni eaither UZEMBE (negligence or recklessness) au MAKUSUDI (deliberately arranged)! Haya ndo mambo makuu mawili yanayosababisha madhara mengi kwa wanadamu, in particular sisi waafrica, mwisho wa picha tunasingizia ooh bahati mbaya.

Akili ikitawaliwa na negligence/recklessness basi hupelekea mtu asicomply with ''duty of care'' kwenye kila action anayotaka kufanya. Pia negligence/recklessness hupelekea mtu akose ''foreseeability'' kwenye kila action anayotaka kufanya.

Mfano mdogo tu: Mtu anakunywa pombe excessively kisha anadrive, tena anadrive speed kali, na ni usiku, na hafungi mkanda!! Huyu akifa kwa ajali tunasema oooh 'bahati mbaya'. what the fckkk!

Au mwingine anaelewa kabsa kuwa tyre zake ni vipara, then anaamsha safari ndefu ya kwenda mkoa. Huyu tyre zake zikiburst akakata kamba, tunaanza kuilaumu 'bahati mbaya'.

Au mwingine anadrive speed kali huku anapapasa paja na ''kupima oil'' hapo seat ya pembeni, sometimes anabadili mkono na kujibu text kwenye simu. Na kuna bata-boys wengine mambulula sana, eti mtu anadrive huku 'ananyonywa koni' na demu.
Kitokee kitu cha ghafula akose control ya gari apate ajali afe, tunailaumu ile ile bahati mbaya. WTF !!

Otherwise, that is what we call 'Poetic Justice'... to be awarded what you deserve as per your action(s)!

Being hell-bound or Paying the price.

Mkuu samurai , nakubaliana kabsa na hoja yako.
 
Sisi sote niwakosefu kwanamna moja ama nyingine,mmoja mzinzi mmoja mlevi au vyote, mwingine jambazi anaefuata mchawi au vyote,huyu dhulma yule shoga au vyote ilimradi Tu tuwakosefu!

Tumuombe Mungu atuongoze kwenye mambo mema,sifurahishwi na wote waliofurahia kifo cha kelvin!nibinadamu kama sisi na tutamfuata tu siku moja kama si Leo basi kesho.hapa hakuna cha kuchekesha!!!!
 
Siku hizi pole zinatolewa online na watu wanalia huku wanajipiga selifie na Kuwekea captions zenye swagger kuonyesha wameguswa kweli smh
Haa... andika tena tena. Ni ulimbukeni mbele kwa mbele. Hakuna kulia wala huzuni hapo... Utafikiri watu wanangojea kwa hamu mtu afe ili wapate chance ya kujionyesha...
 
Haa... andika tena tena. Ni ulimbukeni mbele kwa mbele. Hakuna kulia wala huzuni hapo... Utafikiri watu wanangojea kwa hamu mtu afe ili wapate chance ya kujionyesha...
Unafiki wa hali ya juu, kila baada ya saa wanatupia selfie kuonyesha wanalia zaidi. Hizo captions sasa " Umeondoka jamani nani ataniambia nimependeza", "nani nitaenda escape1".
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana kuhusu utetezi wa kijinga wa sisi waafrica, eti ''BAHATI MBAYA, yaani eti bila kupenda wala kupanga''.

Niliwahi kulumbana kwa hoja kwenye mjadala fulani hivi. Nami pia I am always in the same line of thinking kama wewe mkuu, kwamba hakunaga kitu kinachotokea eti kwa BAHATI MBAYA, hakunaga!

Huwa ni eaither UZEMBE (negligence or recklessness) au MAKUSUDI (deliberately arranged)! Haya ndo mambo makuu mawili yanayosababisha madhara mengi kwa wanadamu, in particular sisi waafrica, mwisho wa picha tunasingizia ooh bahati mbaya.

Akili ikitawaliwa na negligence/recklessness basi hupelekea mtu asicomply with ''duty of care'' kwenye kila action anayotaka kufanya. Pia negligence/recklessness hupelekea mtu akose ''foreseeability'' kwenye kila action anayotaka kufanya.

Mfano mdogo tu: Mtu anakunywa pombe excessively kisha anadrive, tena anadrive speed kali, na ni usiku, na hafungi mkanda!! Huyu akifa kwa ajali tunasema oooh 'bahati mbaya'. what the fckkk!

Au mwingine anaelewa kabsa kuwa tyre zake ni vipara, then anaamsha safari ndefu ya kwenda mkoa. Huyu tyre zake zikiburst akakata kamba, tunaanza kuilaumu 'bahati mbaya'.

Au mwingine anadrive speed kali huku anapapasa paja na ''kupima oil'' hapo seat ya pembeni, sometimes anabadili mkono na kujibu text kwenye simu. Na kuna bata-boys wengine mambulula sana, eti mtu anadrive huku 'ananyonywa koni' na demu.
Kitokee kitu cha ghafula akose control ya gari apate ajali afe, tunailaumu ile ile bahati mbaya. WTF !!

Otherwise, that is what we call 'Poetic Justice'... to be awarded what you deserve as per your action(s)!

Being hell-bound or Paying the price.

Mkuu samurai , nakubaliana kabsa na hoja yako.
nimesoma maelezo yako kwa makini sijaona cha kuongeza umemaliza kila kitu! kula like mia 5 mkuu! labda nisema hivi mimi ni muumini mkubwa sana wa ulichoandika mkuu! waafrica ni viumbe wazembe wa ajabu! na mabingwa aidha wa kumsingizia Mungu au kuisingizia bahati mbaya! watu wengi Africa wanakufa kwenye ajali kwa uzembe tu!!
 
Mkuu huu ndio ukweli, africa tuna tatizo lakusema ukweli, mzembe africa haambiwi kama mzembe bali mnasema bahati mbaya, mwisho wa siku vifo vyakipumbavu huendelea kutokea.. kifupi lazima uelewe HAKUNAGA BAHATI MBAYA... tusimsingizie MUNGU kwa ujinga na uzembe wetu, tumepewa akili tuitawale dunia...
huwezi kuita bahati mbaya hiyo, niambie kwa nini ni bahati mbaya??
Mkuu mimi ni miongoni wa watu wenye mawazo kama yako! watu ni wazembe saana kwenye mambo mbalimbali afu wanamsingizia Mungu. bahati mbaya kwa ulichoandika wengi watakupinga watabaki na mtazamo wao mara siku ilifika mara bahati mbaya! na blah blah zingine. hivi huyu Mungu kazi yake ni kuua watu tu maana anasingiziwa sana! kweli kuna bahati mbaya ila ni kwenye very very few cases! na Mungu atakutetea maana unakuwa umechukua tahadhari zote ila ajali nyingi hapa Nchini ni uzembe!!
 
Nataka kujua kwa nini huyu bwana mara zote huwa wa kwanza kuleta taarifa za ajali humu.Kuwa makini ndugu kuna siku utakuja kuleta taarifa kabla ya ajali haijatokea,
 
Back
Top Bottom