Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Nikweli ila kuna mengine niyakijinga tunasema haya ili tuliohai tubadili Mienendo yetu MTU unaishi kama hakuna MUNGU maisha gani hayo


Afu ukifuatilia hizi ajali za magari ambazo ni 'Bata afterwards' , nyingi huwa ni za vijana.
 
Mwanangu Kaveli umeuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!! Mimi namhurumia tu huyo binti aliyekuwamo kwenye hilo gari, ingawa labda yeye naye ndo kachangia hiyo ajali ila MUNGU amponye awe shuhuda kwa wengine!!


Ni hatari sana mkuu. Kabsa kaka, huyo binti amebakia na ushuhuda mkubwa sana moyoni mwake.
 
R.I.P na pole kwa wafiwa" naskia ni ajali ya pili Marie anatoka mzima yakwanza alikua na bwana wake akavuta wayback mkoa huko mbeya tunduma before hajaja dar es salaam kutafta maisha kuHustle kama watoto wa mjini wasemavyo na Kalvin Marehem alikua akimsomesha Chuo kimoja mjini kati. Naombea tu atoke hospital na reception isiwe imeharibika mana ndio kitega uchumi chake kikubwa maana shape hajajaliwa.
Source Mtu wa karibu
 
Afu ukifuatilia hizi ajali za magari ambazo ni 'Bata afterwards' , nyingi huwa ni za vijana.

Ndio maana insurance za vijana huwa ni kubwa kulinganisha na za watu wazima. Vijana ni reckless, mbwembwe nyingi wakiwa barabarani na hawajali kwa walio wengi.
 
Ndio maana insurance za vijana huwa ni kubwa kulinganisha na za watu wazima. Vijana ni reckless, mbwembwe nyingi wakiwa barabarani na hawajali kwa walio wengi.
mkuu kwa bongo hawafanyi hivyo....wana insure value ya gari tu sijui kwanini hawafuati system za wenzetu ambazo kwa njia moja ama nyingine zinawabana madereva wazembe.
 
Afu ukifuatilia hizi ajali za magari ambazo ni 'Bata afterwards' , nyingi huwa ni za vijana.
Wapuuzi sana....tatizo wanapenda Maisha yakufikirika vitoto vidogo vinaishi maisha yakishetani.......MUNGU aliekuumba unadhani anafurahi?
 
mkuu kwa bongo hawafanyi hivyo....wana insure value ya gari tu sijui kwanini hawafuati system za wenzetu ambazo kwa njia moja ama nyingine zinawabana madereva wazembe.

Inabidi wafanye hivyo kama nchi zingine itachingia kuongeza umakini
 
Alikuwa Producer wa mziki? Mbongo Flavor? Promoter? Au Mfanyabiashara Design ya Kina Kinje,Abdul Zeze,Kanyau,Rumishael? Nini kilichomfanya ajulikane na kina masogange,kadinda,wolper,Young D?

mwenyewe toka nianze kusoma hata Insta sijaon alikuwa anajishughulisha na nini
 
Nataka nielewe.......kama Masogange naona imemgusa sana......insta hakufai kwa simanzi........

kweli insta ni simanzi Preta
sijui ni nani ,maana naona kina davito,petit na wengine wote walivyojawa na simanzi
 
Back
Top Bottom