Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

nimesoma maelezo yako kwa makini sijaona cha kuongeza umemaliza kila kitu! kula like mia 5 mkuu! labda nisema hivi mimi ni muumini mkubwa sana wa ulichoandika mkuu! waafrica ni viumbe wazembe wa ajabu! na mabingwa aidha wa kumsingizia Mungu au kuisingizia bahati mbaya! watu wengi Africa wanakufa kwenye ajali kwa uzembe tu!!


shukrani mkuu.

Kwakweli mimi binafsi kabla ya kukubali huo utetezi maarufu Africa wa 'bahati mbaya' , huwa napima kwanza mazingira ya tukio zima. Waafrica tunapata madhara mengi sana kwa just UZEMBE tu na kusingizia eti bahati mbaya.

Ofcourse kuna baadhi ya matukio/majanga by human ambayo huwa ni result of 'involuntary action(s)'. But matukio/majanga by human ambayo ni result of 'negligence/recklessness' ndo yana-make the majority.

Ona hii mkuu: Daktari mwenye profession kamili kabsa, anaingia theater room kufanya surgery kwa mgonjwa ambaye amekuwa assigned kwake. Badala ya kumpasua mguu (ambacho ndo hasa kinatakiwa kufanyika), yeye anampasua Kichwa!! Hebu imagine hapo mkuu.

Mgonjwa anakufa alafu watu wanaanza ooh jamani ni bahati mbaya tu, mipango ya Mungu!! hahahaa huwa nachoka sana kwakweli
 
Poor Mary namfahamu huyu msichana toka enzi anasoma Aggrey Mbeya, pole sana kwake
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana kuhusu utetezi wa kijinga wa sisi waafrica, eti ''BAHATI MBAYA, yaani eti bila kupenda wala kupanga''.

Niliwahi kulumbana kwa hoja kwenye mjadala fulani hivi. Nami pia I am always in the same line of thinking kama wewe mkuu, kwamba hakunaga kitu kinachotokea eti kwa BAHATI MBAYA, hakunaga!

Huwa ni eaither UZEMBE (negligence or recklessness) au MAKUSUDI (deliberately arranged)! Haya ndo mambo makuu mawili yanayosababisha madhara mengi kwa wanadamu, in particular sisi waafrica, mwisho wa picha tunasingizia ooh bahati mbaya.

Akili ikitawaliwa na negligence/recklessness basi hupelekea mtu asicomply with ''duty of care'' kwenye kila action anayotaka kufanya. Pia negligence/recklessness hupelekea mtu akose ''foreseeability'' kwenye kila action anayotaka kufanya.

Mfano mdogo tu: Mtu anakunywa pombe excessively kisha anadrive, tena anadrive speed kali, na ni usiku, na hafungi mkanda!! Huyu akifa kwa ajali tunasema oooh 'bahati mbaya'. what the fckkk!

Au mwingine anaelewa kabsa kuwa tyre zake ni vipara, then anaamsha safari ndefu ya kwenda mkoa. Huyu tyre zake zikiburst akakata kamba, tunaanza kuilaumu 'bahati mbaya'.

Au mwingine anadrive speed kali huku anapapasa paja na ''kupima oil'' hapo seat ya pembeni, sometimes anabadili mkono na kujibu text kwenye simu. Na kuna bata-boys wengine mambulula sana, eti mtu anadrive huku 'ananyonywa koni' na demu.
Kitokee kitu cha ghafula akose control ya gari apate ajali afe, tunailaumu ile ile bahati mbaya. WTF !!

Otherwise, that is what we call 'Poetic Justice'... to be awarded what you deserve as per your action(s)!

Being hell-bound or Paying the price.

Mkuu samurai , nakubaliana kabsa na hoja yako.
I second that
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana kuhusu utetezi wa kijinga wa sisi waafrica, eti ''BAHATI MBAYA, yaani eti bila kupenda wala kupanga''.

Niliwahi kulumbana kwa hoja kwenye mjadala fulani hivi. Nami pia I am always in the same line of thinking kama wewe mkuu, kwamba hakunaga kitu kinachotokea eti kwa BAHATI MBAYA, hakunaga!

Huwa ni eaither UZEMBE (negligence or recklessness) au MAKUSUDI (deliberately arranged)! Haya ndo mambo makuu mawili yanayosababisha madhara mengi kwa wanadamu, in particular sisi waafrica, mwisho wa picha tunasingizia ooh bahati mbaya.

Akili ikitawaliwa na negligence/recklessness basi hupelekea mtu asicomply with ''duty of care'' kwenye kila action anayotaka kufanya. Pia negligence/recklessness hupelekea mtu akose ''foreseeability'' kwenye kila action anayotaka kufanya.

Mfano mdogo tu: Mtu anakunywa pombe excessively kisha anadrive, tena anadrive speed kali, na ni usiku, na hafungi mkanda!! Huyu akifa kwa ajali tunasema oooh 'bahati mbaya'. what the fckkk!

Au mwingine anaelewa kabsa kuwa tyre zake ni vipara, then anaamsha safari ndefu ya kwenda mkoa. Huyu tyre zake zikiburst akakata kamba, tunaanza kuilaumu 'bahati mbaya'.

Au mwingine anadrive speed kali huku anapapasa paja na ''kupima oil'' hapo seat ya pembeni, sometimes anabadili mkono na kujibu text kwenye simu. Na kuna bata-boys wengine mambulula sana, eti mtu anadrive huku 'ananyonywa koni' na demu.
Kitokee kitu cha ghafula akose control ya gari apate ajali afe, tunailaumu ile ile bahati mbaya. WTF !!

Otherwise, that is what we call 'Poetic Justice'... to be awarded what you deserve as per your action(s)!

Being hell-bound or Paying the price.

Mkuu samurai , nakubaliana kabsa na hoja yako.


mkuu hii dhana imeleta shida na vifo vingi sana Africa, kwa kuendelea kwetu kuendekeza huu ujinga na upumbavu tumeshindwa kutatua matatizo mengi ambayo yametufanya tuendelee kuwa masikini na kuachwa nyuma kwa kila kitu na dunia inayokimbia....

KUANZIA ASIA,ULAYA MPAKA AMERICA huwa hakuna kitu kinaitwa bahati mbaya, ila watu wa AFRICA tunaamini kuna bahati mbaya katika uzembe..
Uzembe huwa ni uzembe tu na hakuna namna nyingine,, huwezi ukawa na maisha duni wakati ulipata hela ukatombea, ukalewea na ujinga mwingi halafu ukawaambia watu wewe kuwa na maisha duni ni bahati mbaya, huwezi kuzembea shuleni na ukasumbua wale waliokulazimisha usome kwa bidii halafu siku za usoni mambo yako yakiwa magumu eti ukasema ni bahati mbaya...

hata vifungu vya bible vilishasema mahali "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" pia binadamu amepewa akili ili aitawale dunia...
ukifa kwa uzembe lazima watu wengine waambiwe MAREHEMU ALIKUWA MZEMBE, hii itasaidia watu wasirudie makosa ya Marehemu...
pia uzembe unaweza ukawa haujasababishwa na Marehemu ila kifo cha Marehemu kinaweza kuwa ni matokeo ya uzembe uliosababishwa na mzembe au wazembe wengine....

MKUU, WE ARE IN THE SAME BOAT, LETS WORK HARD....TUSIAMINI KWENYE BAHATI MBAYA, TUSIRUHUSU UZEMBE KWENYE MAISHA YETU...
 
Sisi sote niwakosefu kwanamna moja ama nyingine,mmoja mzinzi mmoja mlevi au vyote, mwingine jambazi anaefuata mchawi au vyote,huyu dhulma yule shoga au vyote ilimradi Tu tuwakosefu!

Tumuombe Mungu atuongoze kwenye mambo mema,sifurahishwi na wote waliofurahia kifo cha kelvin!nibinadamu kama sisi na tutamfuata tu siku moja kama si Leo basi kesho.hapa hakuna cha kuchekesha!!!!
Nikweli ila kuna mengine niyakijinga tunasema haya ili tuliohai tubadili Mienendo yetu MTU unaishi kama hakuna MUNGU maisha gani hayo
 
Inasikitisha sana
Zamani vijana tulikuwa tunawazika wazee ila siku hizi wazee wanatuzika vijana.

RIP
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana kuhusu utetezi wa kijinga wa sisi waafrica, eti ''BAHATI MBAYA, yaani eti bila kupenda wala kupanga''.

Niliwahi kulumbana kwa hoja kwenye mjadala fulani hivi. Nami pia I am always in the same line of thinking kama wewe mkuu, kwamba hakunaga kitu kinachotokea eti kwa BAHATI MBAYA, hakunaga!

Huwa ni eaither UZEMBE (negligence or recklessness) au MAKUSUDI (deliberately arranged)! Haya ndo mambo makuu mawili yanayosababisha madhara mengi kwa wanadamu, in particular sisi waafrica, mwisho wa picha tunasingizia ooh bahati mbaya.

Akili ikitawaliwa na negligence/recklessness basi hupelekea mtu asicomply with ''duty of care'' kwenye kila action anayotaka kufanya. Pia negligence/recklessness hupelekea mtu akose ''foreseeability'' kwenye kila action anayotaka kufanya.

Mfano mdogo tu: Mtu anakunywa pombe excessively kisha anadrive, tena anadrive speed kali, na ni usiku, na hafungi mkanda!! Huyu akifa kwa ajali tunasema oooh 'bahati mbaya'. what the fckkk!

Au mwingine anaelewa kabsa kuwa tyre zake ni vipara, then anaamsha safari ndefu ya kwenda mkoa. Huyu tyre zake zikiburst akakata kamba, tunaanza kuilaumu 'bahati mbaya'.

Au mwingine anadrive speed kali huku anapapasa paja na ''kupima oil'' hapo seat ya pembeni, sometimes anabadili mkono na kujibu text kwenye simu. Na kuna bata-boys wengine mambulula sana, eti mtu anadrive huku 'ananyonywa koni' na demu.
Kitokee kitu cha ghafula akose control ya gari apate ajali afe, tunailaumu ile ile bahati mbaya. WTF !!

Otherwise, that is what we call 'Poetic Justice'... to be awarded what you deserve as per your action(s)!

Being hell-bound or Paying the price.

Mkuu samurai , nakubaliana kabsa na hoja yako.
Mwanangu Kaveli umeuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!! Mimi namhurumia tu huyo binti aliyekuwamo kwenye hilo gari, ingawa labda yeye naye ndo kachangia hiyo ajali ila MUNGU amponye awe shuhuda kwa wengine!!
 
Ilikuwaje?? Aliipata shida kivipi??
Mkuu jinsi gari ilivyopata mzinga tu na muonekane wa gari yenyewe marehem lazima alipata shida,kwanza hakufunga mkanda so ktk misukosuko ya ajali na kishindo alijikuta(sijui nisemeje maana inaonekana aliipasua airbag ya kwenye sterling kwa uso wake coz kalaza uso kwenye usukani).hizi airbags huwa wanatengenezea kitambaa kigumu kama turubali ila material yake ni ngumu sana sasa kumpasukia mtu usoni sio jambo dogo.
 
Nimesikitika sana kijana Mdogo kuondoka kwa style hiyo ila ningesikitika zaid kama uchizi,Misifa na Mipombe yake ingekwenda kumaliza maisha ya Wengine wanaofata sheria za Barabarani. Ifike hatua ajali za Walevi ziue walevi kama vile Ngoma ingekuwa inasambaratisha vicheche tu! Mkeo/Mumeo unamuacha unaenda kuparamiwa/a then unaleta ugonjwa home mnaondoka wote mnaacha watoto wanakuja kuteseka na kuishia kutombwa au kufilwa na wahuni

uwiiii ukichaa wako haupo kuitetea ccm tu
 
uwiiii ukichaa wako haupo kuitetea ccm tu

Kichaa ni Yule wa Mbeya aliekwenda kuparamia uchi wa kichaa Faiza Ally sasa anadhalilishwa kwny mitandao kwa kutopeleka pesa ya kusuka mtoto wake!
 
Ngoja Nitafute NDIZI Tu Nikajilie Zangu UBWABWA Wa Bure Uliotokana Na Uzembe ULIOTUKUKA Wa Aliyetukusanya.


Mkuu Genta, umenivunja mbavu sana hapa nilipo mkuu. eti 'uzembe uliotukuka'. hahahahaaa

Unaenda na ndizi kabisa ili uwapunguzie bajeti eeh. Lol
 
Back
Top Bottom