Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Sasa basi usiendelee kunichomesha mahindi PM kule. Nna mahaba ya kuuona mwandiko wako...Hilo nalijua fika na nimekubali kuwa mwelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa basi usiendelee kunichomesha mahindi PM kule. Nna mahaba ya kuuona mwandiko wako...Hilo nalijua fika na nimekubali kuwa mwelewa
Muanzisha mada alichanganya "Desa" akasema ni karibu na ubalozi wa KenyaYes hapo ni palm beach kwenye makutano ya Ali Hassan Mwinyi na Barak Obama road....
Mweeeh! Asa mbona mie sikuoni huko PM jamani! Nilienda nikatoa macho nikakutana na meseji ya sijui mbaba gani huko. Jina sio hili😉Sasa basi usiendelee kunichomesha mahindi PM kule. Nna mahaba ya kuuona mwandiko wako...
Labda kwake yeye ubalozi wa Kenya ni hayo majengo baada ya Palm beach hotel.Muanzisha mada alichanganya "Desa" akasema ni karibu na ubalozi wa Kenya
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi. Kweli siku ya kufa miti, nyani huteleza.Hiyo inaitwa AIRBAG. Ni fuko fulani ambalo hufumuka na kuwa puto fulani pale ambapo gari ikipata mshindo/hit. Husaidia kuwakinga waliomo kwenye gari wasiumie. Magari mengi ya kisasa wanaweka hizo airbag kwenye kila mbele ya seat. Magari mengine ya bei kali, huwekwa airbag mpaka na ubavuni kwenye milango.
So seat ya dereva, airbag yake huwekwa kwenye usukani hapo juu, na ndo hilo unaloona kama kitambaa cheupe.
Ushasahau raha ni pale mwanamke anapoanza na mwanaume anamalizia. Nikianza mimi najua hutanogewa.s
Mweeeh! Asa mbona mie sikuoni huko PM jamani! Nilienda nikatoa macho nikakutana na meseji ya sijui mbaba gani huko. Jina sio hili😉
Tobaaaa! Kumbe kuna style ya kuanza na kumalizia, haya nakuanza. Huyo alieniwahi huko usijali, yaishe tu baba! Sijamu-intateini, nimempotezea.Ushasahau raha ni pale mwanamke anapoanza na mwanaume anamalizia. Nikianza mimi najua hutanogewa.
Afu pimbi gani huyo anakufuata PM bila idhini yangu. Kuna watu wanataka niwahamishie vinyeo vyao usoni.... we waache tu
Bora uwe unasema ukweli. Nikigundua unanicheat ntakuadhibu kwa mimba ya mchanaTobaaaa! Kumbe kuna style ya kuanza na kumalizia, haya nakuanza. Huyo alieniwahi huko usijali, yaishe tu baba! Sijamu-intateini, nimempotezea.
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi. Kweli siku ya kufa miti, nyani huteleza.
He he he. Usiniadhibu jamani maana mie ni muoga wa kuchanganya mambo mwenzio. Si nilishakumbia moyo wangu hauhimili vishindo?Bora uwe unasema ukweli. Nikigundua unanicheat ntakuadhibu kwa mimba ya mchana
Usijali adhabu yangu si mbaya kihivyo. Ni mabusu motomoto mchana kweupe mbele za watu....He he he. Usiniadhibu jamani maana mie ni muoga wa kuchanganya mambo mwenzio. Si nilishakumbia moyo wangu hauhimili vishindo?
Halooooo!Usijali adhabu yangu si mbaya kihivyo. Ni mabusu motomoto mchana kweupe mbele za watu....
Lebeka mrs....Halooooo!
s
Mweeeh! Asa mbona mie sikuoni huko PM jamani! Nilienda nikatoa macho nikakutana na meseji ya sijui mbaba gani huko. Jina sio hili😉
He he he. Usinitafutie kesi jamani pliiiiz. Maana kuna alieniibukia PM, akawaka na kumuita Pimbi, huyu Babu kumbe mtata sana. 😛PM yangu hiyo. Ila kwa vile mkuu wangu Asprin nae kaamua kukuomba 'usajiri' basi wacha mie nikae kando kwanza nisubiri kipindi cha pili. Teh teh
Ndio haya haya tunayo ya sema watu wengi wana kifanya wana mjua sana marehemu hizo ndio taarifa za kizushiii Zinazo sambaaaMsiba uko mbezi, tangi bovu
Kutoka Raphsody VIVA Tower mpaka Palm Beach haizidi hata 1km lakini kwa jinsi gari ilivyoharibika inaonyesha alikuwa speed kubwa.Angalia tena vizuri besti: Hapo ni ukitokea sea view ndio unaface hilo bango la matangazo na hizo nyumba, kushoto ni kuelekea mjini na kulia ni kuelekea Salendar ambapo unaona kile kibanda cha polisi