Nikweli ila kuna mengine niyakijinga tunasema haya ili tuliohai tubadili Mienendo yetu MTU unaishi kama hakuna MUNGU maisha gani hayo
Umesharudi kutoka marekani?Ngoja Nitafute NDIZI Tu Nikajilie Zangu UBWABWA Wa Bure Uliotokana Na Uzembe ULIOTUKUKA Wa Aliyetukusanya.
Mwanangu Kaveli umeuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!! Mimi namhurumia tu huyo binti aliyekuwamo kwenye hilo gari, ingawa labda yeye naye ndo kachangia hiyo ajali ila MUNGU amponye awe shuhuda kwa wengine!!
bila shaka ni mchomekoNim
Nnimewamis Sana malecture wetu wakina mzava, mirindo, mandope, na mmoja hivi mlokole, dah umenikumbusha mbali
hahahahaha vijana wa IJA mna fujoSema ulifeli kwasababu ya ukilaza wako,hakuna chuo kisicho na Disco.
Afu ukifuatilia hizi ajali za magari ambazo ni 'Bata afterwards' , nyingi huwa ni za vijana.
mkuu kwa bongo hawafanyi hivyo....wana insure value ya gari tu sijui kwanini hawafuati system za wenzetu ambazo kwa njia moja ama nyingine zinawabana madereva wazembe.Ndio maana insurance za vijana huwa ni kubwa kulinganisha na za watu wazima. Vijana ni reckless, mbwembwe nyingi wakiwa barabarani na hawajali kwa walio wengi.
Wapuuzi sana....tatizo wanapenda Maisha yakufikirika vitoto vidogo vinaishi maisha yakishetani.......MUNGU aliekuumba unadhani anafurahi?Afu ukifuatilia hizi ajali za magari ambazo ni 'Bata afterwards' , nyingi huwa ni za vijana.
Kweli huyo huyo, dahbila shaka ni mchomeko
mkuu kwa bongo hawafanyi hivyo....wana insure value ya gari tu sijui kwanini hawafuati system za wenzetu ambazo kwa njia moja ama nyingine zinawabana madereva wazembe.
Ni Kilekamajenga"Moto wa Yesu"Kweli huyo huyo, dah
Wenzako wanalia we unacheka poti!hahahahaha vijana wa IJA mna fujo
VIP komba kono (kk) alishapoba?Ni Kilekamajenga"Moto wa Yesu"
Sijakuelewa..rekebisha lughaVIP komba kono (kk) alishapoba?
Alikuwa Producer wa mziki? Mbongo Flavor? Promoter? Au Mfanyabiashara Design ya Kina Kinje,Abdul Zeze,Kanyau,Rumishael? Nini kilichomfanya ajulikane na kina masogange,kadinda,wolper,Young D?
Nataka nielewe.......kama Masogange naona imemgusa sana......insta hakufai kwa simanzi........