Ajali Mbaya Goba Rd Masana, Magari (4) na Bodaboda Yagongana USO Kwa Uso!. Congestion ya Balaa!. Thanks God No Casualty, No Fatality!

Ajali Mbaya Goba Rd Masana, Magari (4) na Bodaboda Yagongana USO Kwa Uso!. Congestion ya Balaa!. Thanks God No Casualty, No Fatality!

Wanabodi

Kumetokea ajali mbaya ya magari matatu na boda boda, yamegongana huku mimi nikishuhudia huku nikiwa viti virefu hapa sebuleni kwangu Highland, mkabala na Masana Hospital.

Sijaweza kujua chanzo, ila gari moja ilikuwa inatokea Goba, Kwa spidi kali, mara uso kwa uso na Bodaboda, ikaikwepa kwa kuipiga ubavuni na katika kukwepa, ikaiparamia gari ya kwanza, ikaipiga pasi ya haja, ikaigonga gari gari ya pili na kutua uso kwa uso na gari ya tatu ikafunua bonnet!.

Mwenye Bodaboda akatupwa mtaroni, na kuparamia magari mengine mawili na kulivaa uso kwa uso gari la 3!.

Mawili kati ya magari matatu yaliyoparamiwa, yanaendeshwa na madeva wadada, mmoja anayeendesha Subaru Impreza mpya, anawaka Balaa!.

Kilichosabisha congestion ya ajabu sio hayo magari manne yaliyogongana bali break down 4 zinazogombania tenda ya kuyavuta!. Magari yote 4 yanaweza kutembea hivyo sijui hizi break down zinazotuzibia njia zinagombea tenda gani!.
Paskali

Thanks God, there is neither casualties nor fatalities!.
Mungu ni mwema!.
Paskali.
Blaza kumbe tunakunywa kiota kimoja....

Ila trafiki naye kachukua muda.mrefu sana kuhitimisha hii ajali. Haya magari ya breakdown yamefanana yawezekana ni ya trafiki mmoja....

Hako ka baby walker kalikosababisha almanusura kaingie mtaroni.

BTW siku nyingine uwe unaagalia kaunta afu umcheki mtu anayekunywa K Vant bila kutumia glass. Unaweza ukampata jirani na mnywaji mwema....

Ila ile RUSH nimemwelewa sana dereva wake... Kachangia sana kuongeza foleni (Japo najua kwanini wewe ulikuwa bize na yule wa Subaru.... ndio maana wengi walimhusisha nanii na Malaika Kariuki)
 
Wanabodi

Kumetokea ajali mbaya ya magari matatu na boda boda, yamegongana huku mimi nikishuhudia huku nikiwa viti virefu hapa sebuleni kwangu Highland, mkabala na Masana Hospital.

Sijaweza kujua chanzo, ila gari moja ilikuwa inatokea Goba, Kwa spidi kali, mara uso kwa uso na Bodaboda, ikaikwepa kwa kuipiga ubavuni na katika kukwepa, ikaiparamia gari ya kwanza, ikaipiga pasi ya haja, ikaigonga gari gari ya pili na kutua uso kwa uso na gari ya tatu ikafunua bonnet!.

Mwenye Bodaboda akatupwa mtaroni, na kuparamia magari mengine mawili na kulivaa uso kwa uso gari la 3!.

Mawili kati ya magari matatu yaliyoparamiwa, yanaendeshwa na madeva wadada, mmoja anayeendesha Subaru Impreza mpya, anawaka Balaa!.

Kilichosabisha congestion ya ajabu sio hayo magari manne yaliyogongana bali break down 4 zinazogombania tenda ya kuyavuta!. Magari yote 4 yanaweza kutembea hivyo sijui hizi break down zinazotuzibia njia zinagombea tenda gani!.
Paskali

Thanks God, there is neither casualties nor fatalities!.
Mungu ni mwema!.
Paskali.
Pascal hapo viti virefu ilikuwa chupa ya ngapi? Hebu soma ulichokiandika ukifananishe na wewe, anzia mwenye bodaboda akatupwa mtaroni akaparamia magari mawili....! hukohuko mtaroni?
 
Wanabodi

Kumetokea ajali mbaya ya magari matatu na boda boda, yamegongana huku mimi nikishuhudia huku nikiwa viti virefu hapa sebuleni kwangu Highland, mkabala na Masana Hospital.

Sijaweza kujua chanzo, ila gari moja ilikuwa inatokea Goba, Kwa spidi kali, mara uso kwa uso na Bodaboda, ikaikwepa kwa kuipiga ubavuni na katika kukwepa, ikaiparamia gari ya kwanza, ikaipiga pasi ya haja, ikaigonga gari gari ya pili na kutua uso kwa uso na gari ya tatu ikafunua bonnet!.

Mwenye Bodaboda akatupwa mtaroni, na kuparamia magari mengine mawili na kulivaa uso kwa uso gari la 3!.

Mawili kati ya magari matatu yaliyoparamiwa, yanaendeshwa na madeva wadada, mmoja anayeendesha Subaru Impreza mpya, anawaka Balaa!.

Kilichosabisha congestion ya ajabu sio hayo magari manne yaliyogongana bali break down 4 zinazogombania tenda ya kuyavuta!. Magari yote 4 yanaweza kutembea hivyo sijui hizi break down zinazotuzibia njia zinagombea tenda gani!.
Paskali

Thanks God, there is neither casualties nor fatalities!.
Mungu ni mwema!.
Paskali.
Pombe hizi, we acha tu. Kwenye heading magari manne, kwenye text magari 3. Hakuna casuality lakini kuna mtu katupwa kwenye mtaro.
 
Wanabodi

Kumetokea ajali mbaya ya magari matatu na boda boda, yamegongana huku mimi nikishuhudia huku nikiwa viti virefu hapa sebuleni kwangu Highland, mkabala na Masana Hospital.

Sijaweza kujua chanzo, ila gari moja ilikuwa inatokea Goba, Kwa spidi kali, mara uso kwa uso na Bodaboda, ikaikwepa kwa kuipiga ubavuni na katika kukwepa, ikaiparamia gari ya kwanza, ikaipiga pasi ya haja, ikaigonga gari gari ya pili na kutua uso kwa uso na gari ya tatu ikafunua bonnet!.

Mwenye Bodaboda akatupwa mtaroni, na kuparamia magari mengine mawili na kulivaa uso kwa uso gari la 3!.

Mawili kati ya magari matatu yaliyoparamiwa, yanaendeshwa na madeva wadada, mmoja anayeendesha Subaru Impreza mpya, anawaka Balaa!.

Kilichosabisha congestion ya ajabu sio hayo magari manne yaliyogongana bali break down 4 zinazogombania tenda ya kuyavuta!. Magari yote 4 yanaweza kutembea hivyo sijui hizi break down zinazotuzibia njia zinagombea tenda gani!.
Paskali

Thanks God, there is neither casualties nor fatalities!.
Mungu ni mwema!.
Paskali.
Wewe jamaa huwa unajisema ni mwandishi mkongwe na mwanasheria.... Ndo unaandika hivi? Elimu yetu ina shida sana
 
Hata kingetokea kifo mimi mkristo ningemshukuru MUNGU

Kumbukeni yatupasa kumshukuru MUNGU kwa kila Jambo!
 
Wanabodi

Kumetokea ajali mbaya ya magari manne na boda boda, yamegongana huku mimi nikishuhudia huku nikiwa viti virefu hapa sebuleni kwangu Highland, mkabala na Masana Hospital.

Sijaweza kujua chanzo, ila gari moja ilikuwa inatokea Goba, Kwa spidi kali, mara uso kwa uso na Bodaboda, ikaikwepa kwa kuipiga ubavuni na katika kukwepa, ikaiparamia gari ya kwanza, ikaipiga pasi ya haja, ikaigonga gari gari ya pili na kutua uso kwa uso na gari ya tatu ikafunua bonnet!.

Mwenye Bodaboda akatupwa mtaroni, na kuparamia magari mengine mawili na kulivaa uso kwa uso gari la 3!.

Mawili kati ya magari manne yaliyoparamiwa, yanaendeshwa na madeva wadada, mmoja anayeendesha Subaru Impreza mpya, anawaka Balaa!.

Kilichosabisha congestion ya ajabu sio hayo magari manne yaliyogongana bali break down 4 zinazogombania tenda ya kuyavuta!. Magari yote 4 yanaweza kutembea hivyo sijui hizi break down zinazotuzibia njia zinagombea tenda gani!.

Thanks God, there is neither casualties nor fatalities!.
Mungu ni mwema!.
Paskali.
Bora ungegongwa na wewe Pascal Mayalla maana ulimchomea Erick kwa Magufuli akateseka sana.
 
Wanabodi

Kumetokea ajali mbaya ya magari manne na boda boda, yamegongana huku mimi nikishuhudia huku nikiwa viti virefu hapa sebuleni kwangu Highland, mkabala na Masana Hospital.

Sijaweza kujua chanzo, ila gari moja ilikuwa inatokea Goba, Kwa spidi kali, mara uso kwa uso na Bodaboda, ikaikwepa kwa kuipiga ubavuni na katika kukwepa, ikaiparamia gari ya kwanza, ikaipiga pasi ya haja, ikaigonga gari gari ya pili na kutua uso kwa uso na gari ya tatu ikafunua bonnet!.

Mwenye Bodaboda akatupwa mtaroni, na kuparamia magari mengine mawili na kulivaa uso kwa uso gari la 3!.

Mawili kati ya magari manne yaliyoparamiwa, yanaendeshwa na madeva wadada, mmoja anayeendesha Subaru Impreza mpya, anawaka Balaa!.

Kilichosabisha congestion ya ajabu sio hayo magari manne yaliyogongana bali break down 4 zinazogombania tenda ya kuyavuta!. Magari yote 4 yanaweza kutembea hivyo sijui hizi break down zinazotuzibia njia zinagombea tenda gani!.

Thanks God, there is neither casualties nor fatalities!.
Mungu ni mwema!.
Paskali.
Kiswahili kilichotumika kwa huyo dada wa Subaru..."anawaka" kimenichanganya!
Ni mrembo kupitiliza au alifura kwa hasira?
 
Back
Top Bottom