Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Bila uchunguzi? Kama walipigwa nyundo za vichwa, halafu gari ikasukumizwa huko?hii dini ya wenzetu haina mda wa kuchelewesha
Uko sahihi sana. Mara nyingi watu wanatumia usemi "Aa, mungu yupo tutafika salama!" Mungu Mwenyewe anasema:"Hapendi kujaribiwa!" Siku zote Huwa hamsaidii mtu mzembe.Pole yao
Wenye magari wawe wanaangalia matairi kabla ya safari na kuhakikisha imefanyiwa service kwa ujumla
Usidharau kitu chochote na kusema ntaifanya tukifika mahali bora kulala kuliko kuendesha ikiwa na faulty
Ajali zinazotokea kila kukicha ni uzembe wa kutokufanya ukaguzi wa mara kwa mara
Hakuna mchawi hapo
Wasamaria wema wametoa na tairi kabisa kwenye gari
Sasa mzee umetoka kwny Intercooler umehamia kwny Evo vs Subaru.Unazijua izo gari vizuri lakini so far Mitsubishi lancer ndio gari yenye performance kali kuliko izo subaru zenu na ata bei sio izi za mananasi..anayezijua izi gari atakwambia ukweli ata izi mafuta yake yanatakiwa premium sio haya mabaki ya mafuta tunayoweka
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Uko sahihi juzi naelekea sehemu gari imezingua wakajifanya mafundi wakafunga kamba sijui nini...kila tukisogea gari inasumbua mbona hatukufika....yaani madereva wanachukuliaga poa sana but mwisho wa siku mambo yanaharibika!Pole yao
Wenye magari wawe wanaangalia matairi kabla ya safari na kuhakikisha imefanyiwa service kwa ujumla
Usidharau kitu chochote na kusema ntaifanya tukifika mahali bora kulala kuliko kuendesha ikiwa na faulty
Ajali zinazotokea kila kukicha ni uzembe wa kutokufanya ukaguzi wa mara kwa mara
Hakuna mchawi hapo
Mwenyewe nimeshangaa sababu hata kale kaji Opa kangu on full speed kanakamua horses zaidi ya hizo! Pajero toka lini ikawa performance car?Yaani hizo Mitsubishi Pajero 2800 Intercooler Turbo zenye Hp 124 tu ndio unasema Zina performance Kali?Kwa kunesanesa tu hilo Gari nalikubali.
Mkuu ongelea Lancer ila sio hilo dubwana aisee!Unazijua izo gari vizuri lakini so far Mitsubishi lancer ndio gari yenye performance kali kuliko izo subaru zenu na ata bei sio izi za mananasi..anayezijua izi gari atakwambia ukweli ata izi mafuta yake yanatakiwa premium sio haya mabaki ya mafuta tunayoweka
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hii inaonyesha ilikuwa speed sana.
Dah.... Labda aliposema performance Kali ndiyo kajichanganya...hakuelezea...lakini M/Pajero naikubali sana....na... imekuwa na best performance kwa kundi lake mara nyingi zaidi kuliko gari lolote. 🤣🤣🤣🤣🤭Yaani hizo Mitsubishi Pajero 2800 Intercooler Turbo zenye Hp 124 tu ndio unasema Zina performance Kali?Kwa kunesanesa tu hilo Gari nalikubali.
Na huyo mpiga picha ameziweka hapo hizo namba makusudi kabisaMshana Jr akija atasema sababu ni hizo namba za gari T666....
Gari ilianza kuwaka moto wakaokoa majeruhi na matairiWasamaria wema wametoa na tairi kabisa kwenye gari
USIPENDE KUWAKOSEA ADABU WATU WA TANGA FUATA HOJA ZA KITAALUMA ZILIZOSHIBA!Huo ndio utambulisho wa Tangaline
Dah...mkuu Kila gari lina kundi lake...Kama ilivyo michezo....soka...kikapu...netball....Sasa sijui unalinganishaje Opa na Pajero? 🤣🤣🤣🤣🤭Mwenyewe nimeshangaa sababu hata kale kaji Opa kangu on full speed kanakamua horses zaidi ya hizo! Pajero toka lini ikawa performance car?
Hio ni gari ya Towing zaidi sababu torque yake ni kali ila sio speed!
Huwa hamlali huko kwenu?Dah...mkuu Kila gari lina kundi lake...Kama ilivyo michezo....soka...kikapu...netball....Sasa sijui unalinganishaje Opa na Pajero? 🤣🤣🤣🤣🤭
Hata sielewi ila kusema pajero ni perfomance car bado inanifikirishaDah...mkuu Kila gari lina kundi lake...Kama ilivyo michezo....soka...kikapu...netball....Sasa sijui unalinganishaje Opa na Pajero? 🤣🤣🤣🤣🤭