Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Aisee Hali sio nzuri kabisaWanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haikathibitishwa!.
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo, tunaomba update.
Paskali
Mimi sio mwandishi mkubwa, mimi ni mwandishi mstaafu wa zamani.wewe nawe ni mwandishi mkubwa ila ni mkubwa jau
Maana ya breaking news ni wakati tukio linapotokea.Siku ajali sio breaking news tena..
Mstaafu? PPR haipo siku hizi?!Mimi sio mwandishi mkubwa, mimi ni mwandishi mstaafu wa zamani.
P
Brother naomba konekisheni nipeleke kipindi cha Televisheni, kituo chochote kileMimi sio mwandishi mkubwa, mimi ni mwandishi mstaafu wa zamani.
P
Hapa tunazungumzia ajaliBrother naomba konekisheni nipeleke kipindi cha Televisheni, kituo chochote kile
Watu zaidi ya 12,000Aisee,kweli tunapita.uturuki nako ndo sauti ya Mungu imeunguruma kweli.Tumrudie Mungu hakika,tunakumbushwa
12,000 Bunju?! 😆😆Watu zaidi ya 12,000
Mungu atufumbue,tuijue NuruWatu zaidi ya 12,000