johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amejazia kwenye hoja ya uturuki sio bunju boss12,000 Bunju?! [emoji38][emoji38]
Maana ya breaking news ni kukatisha hsbari zinazoendelea ill kupisha habari muhimu ambayo imetokea hivi punde.Maana ya breaking news ni wakati tukio linapotokea.
P
Jesus is coming soon.Aisee, kweli tunapita. Uturuki nako ndo sauti ya Mungu imeunguruma kweli. Tumrudie Mungu hakika, tunakumbushwa.
Seriously,na si utaniJesus is coming soon.
Sijakuzuia kuzungumzia ajaliHapa tunazungumzia ajali
Soon but not before year 3700 something !!Seriously,na si utani
3700 gani,wakati watu ndo wanakufa ovyo ivo mkuu....ukifa na madhambi ndo bas tenaSoon but not before year 3700 something !!
ðŸ˜Nina mashaka na watu waliokuwa kwenye Fuso kama wamebaki salama...
Kwani hua unashindwa kuandika kiswahili au kiingereza pekee mpaka uchanganye hivyo ? Huoni kama ni aina Fulani hivi ya ushambaWanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: Ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haijathibitishwa!.
View attachment 2511313
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo ya View attachment 2511312tunaomba update.
Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa jinsi macho yangu yanavyo ona, I doubt kama hii ni ajali mbaya kivile compared na nilivyo elezwa and I doubt kama kuna any serious casualties or fatalities!.
P
😳 MakubwaKwani hua unashindwa kuandika kiswahili au kiingereza pekee mpaka uchanganye hivyo ? Huoni kama ni aina Fulani hivi ya ushamba
Kumwambia ukweli kwako yamekua makubwa?😳 Makubwa
Ni taarifa mbaya,ivo ingekuwa vyema ukapita tu....hujui kesho yako usikimbilie kujipa mzigo sana wa kukwaza watu pasipo sababu huku ukiita ni ukweliKumwambia ukweli kwako yamekua makubwa?
Nimewaachia vijanaMstaafu? PPR haipo siku hizi?!
Wewe tuu... Je, Una Kipaji cha Utangazaji? Jinsi ya Kujiajiri Utayarishaji na Utangazaji Vipindi Vyako vya TVBrother naomba konekisheni nipeleke kipindi cha Televisheni, kituo chochote kile
Sawa, napitia mchongo