Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ajali mbaya ni ile ya Kibaigwa tayari imeshaondoka na roho 12Wanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: Ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haijathibitishwa!.
View attachment 2511313
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo ya View attachment 2511312tunaomba update.
Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa jinsi macho yangu yanavyo ona, I doubt kama hii ni ajali mbaya kivile compared na nilivyo elezwa and I doubt kama kuna any serious casualties or fatalities!.
P