Ajali Mbaya ya Lori la Taka na Fuso Bagamoyo Rd Eneo la Bunju B

Ajali Mbaya ya Lori la Taka na Fuso Bagamoyo Rd Eneo la Bunju B

Wanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: Ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haijathibitishwa!.
View attachment 2511313
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo ya View attachment 2511312tunaomba update.

Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa jinsi macho yangu yanavyo ona, I doubt kama hii ni ajali mbaya kivile compared na nilivyo elezwa and I doubt kama kuna any serious casualties or fatalities!.
P
Ajali mbaya ni ile ya Kibaigwa tayari imeshaondoka na roho 12
IMG-20230209-WA0049.jpg
 
Ajali mbaya ni ile ya Kibaigwa tayari imeshaondoka na roho 12View attachment 2511366
Waongezwe matrafiki barabarani na tochi ziongezeke! Kila kijiji Trafiki wenye tochi wawepo utaona kama utasikia ajali ya uso kwa uso tena !! Kisababishi cha ajali karibu zote kwenye highways za TZ ni mwendokasi uliochanganyika na uzembe wa madereva wa kisasa !
 
Waongezwe matrafiki barabarani na tochi ziongezeke! Kila kijiji Trafiki wenye tochi wawepo utaona kama utasikia ajali ya uso kwa uso tena !! Kisababishi cha ajali karibu zote kwenye highways za TZ ni mwendokasi uliochanganyika na uzembe wa madereva wa kisasa !
Wanaoandika ujumbe au kusoma ujumbe kwenye simu wakati wanaendesha gari umewaweka kwenye fungu la wazembe au data hiyo haikusanywi na Kitengo cha Takwimu!? Basi watu hao wanasabisha ajali mithili ya mlevi au hata kumzidi!
 
Wanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: Ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haijathibitishwa!.
View attachment 2511313
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo ya View attachment 2511312tunaomba update.

Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa jinsi macho yangu yanavyo ona, I doubt kama hii ni ajali mbaya kivile compared na nilivyo elezwa and I doubt kama kuna any serious casualties or fatalities!.
P
Nilipita asubuhi kweli ajali ni mbaya sana na sidhani kama watu waliokuwa mbele kwenye fuso wanaoona. Huenda wote wameteketeza kwani sehe yote ya mbele imekunjamana
 
Wanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: Ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haijathibitishwa!.
View attachment 2511313
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo ya View attachment 2511312tunaomba update.

Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa jinsi macho yangu yanavyo ona, I doubt kama hii ni ajali mbaya kivile compared na nilivyo elezwa and I doubt kama kuna any serious casualties or fatalities!.
P
Hawa siyo casualties ni victims. Learn to differentiate btn the two. Causalities ni victims wa vita tu
 
Wanaoandika ujumbe au kusoma ujumbe kwenye simu wakati wanaendesha gari umewaweka kwenye fungu la wazembe au data hiyo haikusanywi na Kitengo cha Takwimu!? Basi watu hao wanasabisha ajali mithili ya mlevi au hata kumzidi!
Kabisa kabisa!! Ni Hatari sana !!
 
Muundo wa bodi la magari mengi kama Fuso huwa yanaongezewa ukubwa kuliiko uwezo wa jinsi lilivyoundwa huko China.

Hilo waliangalie watu wa TBS na LATRA juu ya uhuru usio na mpaka bodi za magari haya kuongezewa ukubwa wa kubeba mizigo, vifurushi na matenga mwishowe gari kuyumba, ku feli breki n.k kutokana na kutozingatia uwezo na usalama wa vyombo vilivyotakiwa kuwa na muundaji wa chombo hicho huko China.
 
Back
Top Bottom