Ajali Mbaya ya Lori la Taka na Fuso Bagamoyo Rd Eneo la Bunju B

Kwani hua unashindwa kuandika kiswahili au kiingereza pekee mpaka uchanganye hivyo ? Huoni kama ni aina Fulani hivi ya ushamba
 
Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa jinsi macho yangu yanavyo ona, I doubt kama hii ni ajali mbaya kivile compared na nilivyo elezwa and I doubt kama kuna any serious casualties or fatalities!.

Kwa namna hali ya fuso ilivyo mbele kama siyo kifo basi kuna walemavu wa maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…