Ajali mbaya ni ile ya Kibaigwa tayari imeshaondoka na roho 12Wanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: Ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haijathibitishwa!.
View attachment 2511313
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo ya View attachment 2511312tunaomba update.
Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa jinsi macho yangu yanavyo ona, I doubt kama hii ni ajali mbaya kivile compared na nilivyo elezwa and I doubt kama kuna any serious casualties or fatalities!.
P
Hii kugongana uso kwa uso kwa madereva wa kisasa kumezidi sana!Nina mashaka na watu waliokuwa kwenye Fuso kama wamebaki salama...
Waongezwe matrafiki barabarani na tochi ziongezeke! Kila kijiji Trafiki wenye tochi wawepo utaona kama utasikia ajali ya uso kwa uso tena !! Kisababishi cha ajali karibu zote kwenye highways za TZ ni mwendokasi uliochanganyika na uzembe wa madereva wa kisasa !Ajali mbaya ni ile ya Kibaigwa tayari imeshaondoka na roho 12View attachment 2511366
Wanaoandika ujumbe au kusoma ujumbe kwenye simu wakati wanaendesha gari umewaweka kwenye fungu la wazembe au data hiyo haikusanywi na Kitengo cha Takwimu!? Basi watu hao wanasabisha ajali mithili ya mlevi au hata kumzidi!Waongezwe matrafiki barabarani na tochi ziongezeke! Kila kijiji Trafiki wenye tochi wawepo utaona kama utasikia ajali ya uso kwa uso tena !! Kisababishi cha ajali karibu zote kwenye highways za TZ ni mwendokasi uliochanganyika na uzembe wa madereva wa kisasa !
Na maana ya mubashara/live ni nini?Maana ya breaking news ni wakati tukio linapotokea.
P
Mubashara maana yake ni live, matangazo ya moja kwa moja.
Inatisha, vita ya Ukraine na haya majanga mengine. Tetemeko wamekufa zaidi ya watu elfu 17.Seriously,na si utani
Nilipita asubuhi kweli ajali ni mbaya sana na sidhani kama watu waliokuwa mbele kwenye fuso wanaoona. Huenda wote wameteketeza kwani sehe yote ya mbele imekunjamanaWanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: Ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haijathibitishwa!.
View attachment 2511313
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo ya View attachment 2511312tunaomba update.
Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa jinsi macho yangu yanavyo ona, I doubt kama hii ni ajali mbaya kivile compared na nilivyo elezwa and I doubt kama kuna any serious casualties or fatalities!.
P
Hawa siyo casualties ni victims. Learn to differentiate btn the two. Causalities ni victims wa vita tuWanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: Ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haijathibitishwa!.
View attachment 2511313
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo ya View attachment 2511312tunaomba update.
Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa jinsi macho yangu yanavyo ona, I doubt kama hii ni ajali mbaya kivile compared na nilivyo elezwa and I doubt kama kuna any serious casualties or fatalities!.
P
Hata picha haujui kuiangalia!Vipi hilo gari la maji taka mzigo umemwagika?
Kabisa kabisa!! Ni Hatari sana !!Wanaoandika ujumbe au kusoma ujumbe kwenye simu wakati wanaendesha gari umewaweka kwenye fungu la wazembe au data hiyo haikusanywi na Kitengo cha Takwimu!? Basi watu hao wanasabisha ajali mithili ya mlevi au hata kumzidi!
Causalities ni victims wa vita tu! Zishauri hospitali zifute idara hiyo.Hawa siyo casualties ni victims. Learn to differentiate btn the two. Causalities ni victims wa vita tu
Nimepita hapo kama muda wa 8:30asubuhi nilikuta ndio wanamaliza kusogeza pembeni.Maana ya breaking news ni wakati tukio linapotokea.
P
Ivo Yaan mkuuInatisha, vita ya Ukraine na haya majanga mengine. Tetemeko wamekufa zaidi ya watu elfu 17.
Hakika yuko njiani. It's time to repent.
Stupid.Hawa siyo casualties ni victims. Learn to differentiate btn the two. Causalities ni victims wa vita tu
@Utaula wa chuyaVipi hilo gari la maji taka mzigo umemwagika?
πππππ€£π€£ππππΆπΆπ€¨π€¨πΆπΆπππππ€£π€£wewe nawe ni mwandishi mkubwa ila ni mkubwa jau