Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Huo ndio mlima nyoka?Inyala once again!
1.Kuwepo kwa vyombo vya usafiri visivyo kidhi vigezo vya kuwepo barabarani (yani havifai kwa matumizi lakini vipo)Pepo la ajali na nchi yetu, kuna nini?
Nahisi hivyo ingawa sina uhakikaHuo ndio mlima nyoka?
Hili eneo kila siku ni ajali but nothing has ever been done, Sasa unajiuliza hivi hapo Mbeya hakuna serikali? Tan road hawapo?Inyala once again!
Ndiyo maana mimi huwa nasema tatizo kuu ni institutional failure..Kwanini serikali ya CCM haitaki kutanua barabara maeneo hatarishi mkoani Mbeya?
Ajali isipotokea Inyala, inatokea Mlima Nyoka, isipotokea hapo inatokea mteremko wa Mbalizi, lakini serikali inachukulia poa tu miaka nenda rudi.
Juzi Makamu wa Rais alikuwa Mbeya na alitoa agizo kwa TANROADS kurekebisha na kutanua barabara kwenye maeneo korofi sasa sijui hawajaanza kujenga au vpKwanini serikali ya CCM haitaki kutanua barabara maeneo hatarishi mkoani Mbeya?
Ajali isipotokea Inyala, inatokea Mlima Nyoka, isipotokea hapo inatokea mteremko wa Mbalizi, lakini serikali inachukulia poa tu miaka nenda rudi.