Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole kwa ndg jamaa na marafiki.Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga Magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.
ITV
==============================
Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.
Hapana, Mlima Nyoka upo Mbele unapoelekea Mbeya Mjini. Hapo juu ya huo mlima Kuna Sub Station ya Tazama pipe lineHuo ndio mlima nyoka?
Juju hiloDED wa Igunga Fatuma Latu amefariki dunia muda huu ktk ajali akitokea kwenye kikao cha ALAT Mbeya
Mkuu nilikuwa najiuliza kwanii serikali iko kimya juu ya maeneo hatarishi!Kwanini serikali ya CCM haitaki kutanua barabara maeneo hatarishi mkoani Mbeya?
Ajali isipotokea Inyala, inatokea Mlima Nyoka, isipotokea hapo inatokea mteremko wa Mbalizi, lakini serikali inachukulia poa tu miaka nenda rudi.
Kila nafsi itaonja mauti, pumzika kwa amani DEDDED wa Igunga Fatuma Latu amefariki dunia muda huu ktk ajali akitokea kwenye kikao cha ALAT Mbeya
Apumzike kwa amaniDED wa Igunga Fatuma Latu amefariki dunia muda huu ktk ajali akitokea kwenye kikao cha ALAT Mbeya
Akifa wa ccm machadema ndo huwa yanafurahi sababu wao hawafi.Hapo kwa UVCCM ni furaha....ulaji mwingine huo.
1 na 2 ni kwa kiasi kidogo sanaaa, 3 ndo baba lao1.Kuwepo kwa vyombo vya usafiri visivyo kidhi vigezo vya kuwepo barabarani (yani havifai kwa matumizi lakini vipo)
2. Kuwepo kwa madereva wasiokidhi vigezo vya kuwa madereva. Hupelekea kuvunja sheria hovyo.
3. Unywaji wa pombe na matumizi ya dawa za kulevya kisha kuendesha vyombo ya moto.
Hizo nadhani ni sababu kuu.