Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
πππππππππ€£π€£π€£ au sioVacant
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππ€£π€£π€£ au sioVacant
Mkuu huwezi kuamini namba moja ndio kubwa kuliko. Magari yanatembea bila kufanyiwa service. Hata ukaguzi mdogo mdogo tu kama pre start watu hawafanyi (hii ni kutokana na kuwa hawana sifa za udereva).1 na 2 ni kwa kiasi kidogo sanaaa, 3 ndo baba lao
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga Magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.
ITV
==============================
Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.
1.Kuwepo kwa vyombo vya usafiri visivyo kidhi vigezo vya kuwepo barabarani (yani havifai kwa matumizi lakini vipo)
2. Kuwepo kwa madereva wasiokidhi vigezo vya kuwa madereva. Hupelekea kuvunja sheria hovyo.
3. Unywaji wa pombe na matumizi ya dawa za kulevya kisha kuendesha vyombo ya moto.
Hizo nadhani ni sababu kuu.
Wako busy kuongeza ma V8Kwanini serikali ya CCM haitaki kutanua barabara maeneo hatarishi mkoani Mbeya?
Ajali isipotokea Inyala, inatokea Mlima Nyoka, isipotokea hapo inatokea mteremko wa Mbalizi, lakini serikali inachukulia poa tu miaka nenda rudi.
Ccm ni laana nchi hii mkuu!!Pepo la ajali na nchi yetu, kuna nini?
Bila kuwafurusha hawa ndugu tungali na safari ndefu sana
Barabara ya Makambako mbeya naona masisiem ndo yameziteuwa kunyonya damu za watu..
Hapana,mbele baada ya mlima nyoka ukielekea makambako wenye kituo Cha Bomba la mafuta la zambiaHuo ndio mlima nyoka?
Hizi ni hisia zako. Huna tofauti na waganga wa kienyeji1.Kuwepo kwa vyombo vya usafiri visivyo kidhi vigezo vya kuwepo barabarani (yani havifai kwa matumizi lakini vipo)
2. Kuwepo kwa madereva wasiokidhi vigezo vya kuwa madereva. Hupelekea kuvunja sheria hovyo.
3. Unywaji wa pombe na matumizi ya dawa za kulevya kisha kuendesha vyombo ya moto.
Hizo nadhani ni sababu kuu.