TANZIA Ajali Mbeya: Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora wamefariki dunia

TANZIA Ajali Mbeya: Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora wamefariki dunia

Mkuu nilikuwa najiuliza kwanii serikali iko kimya juu ya maeneo hatarishi!

Kila siku ajali zinatokea maeneo yale yale, Je kamatai ya Taifa ya usalama barabarani hawaoni hili.

Kitu kingine ambacho ni mzizi hasa kwa Dar es Salaam, Je wameshindwa kubuni njia ya kupunguza ajali hasa maeneo ya mataa yanapokuwa yamezima mfano.
Barabara ya morogoro road maeneo ya taa za Bucha, Baruti Suka ni maeneo ambayo hazipitu siku mbili bila mtu kugongwa au magari kugongana!

Tunahitaji kuja na suluhisho la kudumu kwa maeneo haya, watu tunateketea kila uchwao.

Vyuo kama DIT, St joseph, CoET, MUST, Arusha Tech, VETA mko wapi kuja na suluhisho la taa zinazo dumu!
Nani alikuambia vyuo ndo vinatoa solution?

Serikali haina mkakati wa kutatua hizo changamoto.

Hivyo vyuo vitakuwa vinapoteza muda.
 
Mpaka sas HV naogopa kusafiri kila siku lazm mizinga Kuna nn na hili linakwenda sambasmab na kauli ya kinana Ila sioni sbabu ya kuhusisha kauli ya kinana. Na ajali hzi
 
Madereva wa serikali ni tatizo. Na huyo DED na usomi wote huo alikuwa hajui speed inaua.

Hiyo kwa jinsi ilivyoharibika lazima speed ilikuea 140, 160 au 180KM/HR yaani kikitokea kitu mbele hata dereva huwezi kucontrol gari.
Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.
 
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga Magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya.


Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.

ITV

==============================

Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.

Ila Huu mkoa WA Mbeya sijui Una Pepo gani kila siku ajali mbaya ziko pale
 
Madereva waendeshe magari taratibu.. inasikitisha sana yaan gari haitamaniki km imeangukiwa na kitu kizito
 
Kwanini serikali ya CCM haitaki kutanua barabara maeneo hatarishi mkoani Mbeya?

Ajali isipotokea Inyala, inatokea Mlima Nyoka, isipotokea hapo inatokea mteremko wa Mbalizi, lakini serikali inachukulia poa tu miaka nenda rudi.

Last december nimepita hizo barabara ulizozitaja. nikasema waziwazi na moyoni kwamba Mbeya hawana barabara. yaani iko kama Tabora ya miaka ya 90.

Hayo maeneo yote uliyoyataja ni barabara hatarishi. Zina matuta yanayoenda sambamba na barabara. Halafu nyie kina Bujibuji Simba Nyamaume mko kimya tu.
 
Back
Top Bottom