Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndugu umeshasema juzi, hiyo Barbara ingejengwa kwa ramli auJuzi Makamu wa Rais alikuwa Mbeya na alitoa agizo kwa TANROADS kurekebisha na kutanua barabara kwenye maeneo korofi sasa sijui hawajaanza kujenga au vp
Sent from my CLT-L29 using JamiiForums mobile app
Askari wa usalama barabarani angemfanyaje dereva wa DED?!!Trafiki warudishwe barabarani, hali inatisha
Nani alikuambia vyuo ndo vinatoa solution?Mkuu nilikuwa najiuliza kwanii serikali iko kimya juu ya maeneo hatarishi!
Kila siku ajali zinatokea maeneo yale yale, Je kamatai ya Taifa ya usalama barabarani hawaoni hili.
Kitu kingine ambacho ni mzizi hasa kwa Dar es Salaam, Je wameshindwa kubuni njia ya kupunguza ajali hasa maeneo ya mataa yanapokuwa yamezima mfano.
Barabara ya morogoro road maeneo ya taa za Bucha, Baruti Suka ni maeneo ambayo hazipitu siku mbili bila mtu kugongwa au magari kugongana!
Tunahitaji kuja na suluhisho la kudumu kwa maeneo haya, watu tunateketea kila uchwao.
Vyuo kama DIT, St joseph, CoET, MUST, Arusha Tech, VETA mko wapi kuja na suluhisho la taa zinazo dumu!
htrDED wa igunga
Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.Madereva wa serikali ni tatizo. Na huyo DED na usomi wote huo alikuwa hajui speed inaua.
Hiyo kwa jinsi ilivyoharibika lazima speed ilikuea 140, 160 au 180KM/HR yaani kikitokea kitu mbele hata dereva huwezi kucontrol gari.
Ila Huu mkoa WA Mbeya sijui Una Pepo gani kila siku ajali mbaya ziko paleWatu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga Magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala mkoani Mbeya.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.
ITV
==============================
Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.
Kama sio dereva huwezi kuelewa mzee wangu.Magari kufanyiwa Pre start? Au unataka yawe yanapelekwa Misri kufanyiwa pre season?
Hilo nalo pia mkuuMbona umesagau la miundombinu mibovu?barabara ni finyu sana
Jamaa huwa hawana tochi wala kibao cha 50Madereva wa serikali ni tatizo. Na huyo DED na usomi wote huo alikuwa hajui speed inaua.
Hiyo kwa jinsi ilivyoharibika lazima speed ilikuea 140, 160 au 180KM/HR yaani kikitokea kitu mbele hata dereva huwezi kucontrol gari.
Mambo ya spid za kujidai hawasimamishwi na polisi. Kumekuwa na tabia ya kuvunja sheria za barabara kwa jina la serikaliDaaah gari imeisha kabisa sijui ni speedingView attachment 2356856
Kwanini serikali ya CCM haitaki kutanua barabara maeneo hatarishi mkoani Mbeya?
Ajali isipotokea Inyala, inatokea Mlima Nyoka, isipotokea hapo inatokea mteremko wa Mbalizi, lakini serikali inachukulia poa tu miaka nenda rudi.