Lori limefeli breki mteremko wa Inyara likaparamia hizo gari ndogo. Dereva hausiki hata kidogoDreva wa serikali ni shida, wanavunja Sheria za barabara. Haya ndiyo matokeo. Any way RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lori limefeli breki mteremko wa Inyara likaparamia hizo gari ndogo. Dereva hausiki hata kidogoDreva wa serikali ni shida, wanavunja Sheria za barabara. Haya ndiyo matokeo. Any way RIP
Vyuo vingi ni teaching oriented na siyo research oriented,hivyo unakuta siyo rahisi kufanya tafiti yakinifu,na kuja na suluhisho lenye tija kwa jamii.Pole kwa waathirika wa hiyo ajali.Mkuu nilikuwa najiuliza kwanii serikali iko kimya juu ya maeneo hatarishi!
Kila siku ajali zinatokea maeneo yale yale, Je kamatai ya Taifa ya usalama barabarani hawaoni hili.
Kitu kingine ambacho ni mzizi hasa kwa Dar es Salaam, Je wameshindwa kubuni njia ya kupunguza ajali hasa maeneo ya mataa yanapokuwa yamezima mfano.
Barabara ya morogoro road maeneo ya taa za Bucha, Baruti Suka ni maeneo ambayo hazipitu siku mbili bila mtu kugongwa au magari kugongana!
Tunahitaji kuja na suluhisho la kudumu kwa maeneo haya, watu tunateketea kila uchwao.
Vyuo kama DIT, St joseph, CoET, MUST, Arusha Tech, VETA mko wapi kuja na suluhisho la taa zinazo dumu!
Huwa yanafanyika maombi kuombea ajali zisitokee.Kwanini serikali ya CCM haitaki kutanua barabara maeneo hatarishi mkoani Mbeya?
Ajali isipotokea Inyala, inatokea Mlima Nyoka, isipotokea hapo inatokea mteremko wa Mbalizi, lakini serikali inachukulia poa tu miaka nenda rudi.
Makamu wa Rais alikua hapo inyala juzi kukagua/barabara mpya kukwepa huo mlima. Mbalizi tayar wameanza kujenga barabara kukwepa mlima sina uhakika na mlima nyokaKwanini serikali ya CCM haitaki kutanua barabara maeneo hatarishi mkoani Mbeya?
Ajali isipotokea Inyala, inatokea Mlima Nyoka, isipotokea hapo inatokea mteremko wa Mbalizi, lakini serikali inachukulia poa tu miaka nenda rudi.
Sasa anasikia[emoji23]Rip Fatuma,nilikufahamu ukiwa Afisa mipango manispaa Singida miaka hiyo.Pumzika dada
Nidhamu Nidhamu..kisa unanijuwa mimi nani....Daaah gari imeisha kabisa sijui ni speedingView attachment 2356856
Jamani Mpogoro wangu. Pole kwa Familia ya mwalimu Ndossi na wanafamilia wote.
DED ACHAGULIWI TOKA UVCCMHapo kwa UVCCM ni furaha....ulaji mwingine huo.
Madam za Mwanza......umepotea sana hapa ukumbini....Wanasema alikuwa pamoja na DC wa Igunga?
Hatari sana mzee wangu hasa mabus, muda wowote wanaforce kuovertake na muda wowote wannaforce kurudi kama mbele kuna kizingiti, na ukisema ukomae wanakugonga kabisa. Malori mengi case zao ni kama hizo wakifeli brake au gari likose muelekeo ni hatari sanaHakuna magari naogopa kuongozana nayo niwapo safarini na private kama malori na mabasi!
Wanachangia gari?!, ofisi ya DC kiitifaki huwa inakuwa na gari yenye bendera.Wanasema alikuwa pamoja na DC wa Igunga?
Ukiwa hujafa wewe unayaona mambo kama haya vizuri na kwa umakini. Lakini hata marehemu alikuwa anakajua haka katabia ka kiroho chafuuu.Hapo kwa UVCCM ni furaha....ulaji mwingine huo.