Alinyoosha gotiDaaah gari imeisha kabisa sijui ni speedingView attachment 2356856
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alinyoosha gotiDaaah gari imeisha kabisa sijui ni speedingView attachment 2356856
duh noma sana hata uvae hirizi elfu hapa utokiDaaah gari imeisha kabisa sijui ni speedingView attachment 2356856
Imagine ni gari kubwa je kangekuwa ka baby walker si hadi tyre ingeishaduh noma sana hata uvae hirizi elfu hapa utoki
Eneseketesha sana. Ajari zimekuwa nyingi. Mwenyezi Mungu atuepusha na hizo mauti, mbona zimezidi
Mambo yakiwa hivi bila shaka sasa watajenga hiyo barabara ila wasipokufa Hawa hakuna mtu atajali maisha ya watu wa kawaida wa Mbeya..DED wa Igunga Fatuma Latu amefariki dunia muda huu ktk ajali akitokea kwenye kikao cha ALAT Mbeya.
View attachment 2357009
PICHA: Muonekano wa gari iliyombeba DED baada ya kupata ajali
Hii gari itakuwa ilikuwa na mwendo mkali sanaDED wa Igunga Fatuma Latu amefariki dunia muda huu ktk ajali akitokea kwenye kikao cha ALAT Mbeya.
View attachment 2357009
PICHA: Muonekano wa gari iliyombeba DED baada ya kupata ajali
NdiyoWe ...Kwani hilo ni yale ma V8 ya m400??
Hasikii,Unamuonea wivu marehemu,Sasa anasikia[emoji23]
Sio rahisi chadema kufurahia kitu wasichoweza kukipata... hapo ni nafasi ya ulaji kwa mtu mwingine toka CCM.Akifa wa ccm machadema ndo huwa yanafurahi sababu wao hawafi.
Mungu ampumzishe anapostahili,DED wa Igunga Fatuma Latu amefariki dunia muda huu ktk ajali akitokea kwenye kikao cha ALAT Mbeya.
View attachment 2357009
PICHA: Muonekano wa gari iliyombeba DED baada ya kupata ajali
Case ameshapewa dereva wa lorry tena!!!Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wadaiwa kufariki dunia hii leo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya Lori kufeli breki na kugonga magari madogo mawili, katika mteremko wa Inyala Mkoani Mbeya.