Mbona umesagau la miundombinu mibovu?barabara ni finyu sana1.Kuwepo kwa vyombo vya usafiri visivyo kidhi vigezo vya kuwepo barabarani (yani havifai kwa matumizi lakini vipo)
2. Kuwepo kwa madereva wasiokidhi vigezo vya kuwa madereva. Hupelekea kuvunja sheria hovyo.
3. Unywaji wa pombe na matumizi ya dawa za kulevya kisha kuendesha vyombo ya moto.
Hizo nadhani ni sababu kuu.